Uvaaji wa kofia huathiri ukuaji wa nywele?

Bigbootylover

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
2,847
1,820
Msaada kwa mwenye uelewa, hivi ukiwa unavaa kofia mara kwa mara inaweza kuathiri ukuaji wa nywele, hasa kwa wale wenye viwalaza/upara unaoanza? Marasta mbona huvaa kofia muda mwingi? Watu wengine pia mbona huvaa kofia muda wote na nywele ziko vizuri tu. Msaada tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom