Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,509
- 830,005
utanashati humfanya mtu aonekane tofauti na wengine, utanashati huleta heshima na kupendwa, utanashati huwakilisha utulivu wa akili, ukivaa hovyo utaonyesha wazi kuwa umevurugwa na hujajikagua vema wakati unavaa!!! nachukizwa mno nikiona mtu kachomekea vibaya shati au kola imekaa vibaya, vifungo kafunga tofauti, hajafunga zipu, hajafunga kamba za viatu, mkanda karuka kishikio, kavaa sox suruali imetumbukia soksini, viatu vichafu nk..! as a gentleman unapotoka ndani hakikisha umekamilika kila idara btw wanawake wahahusika sana kwenye utanashati na usafi wa wenza wao