Uuzaji wa maeneo ya wazi Bunju

laptop67

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
350
220
Enyi watu wa ardhi njooni Bunju B muone jinsi viongozi wa mitaa wanavyouza maeneo ya wazi na hasa maeneo ya mabondeni ambayo ni reserve,viongozi hao ni wababe na wanashirikiana na vyombo vya ulinzi pindi wakibugudhiwa,Waziri wa ardhi njoo huku Bunju ushuhudie hiki kitu, mtafute mtu anaitwa jihadi huyu ndo kiongozi wa kuuza sehemu za wazi
 
Kidogo mi pia nilizwe...walivamia eneo langu wakauza,kwakuwa niliweka MTU Wa kutazama hapo akanijulisha nikaelekea huko nikawakuta ndio wapo kwenye kuonyeshana mipaka...nikazuia hilo halikutokea....
 
Kidogo mi pia nilizwe...walivamia eneo langu wakauza,kwakuwa niliweka MTU Wa kutazama hapo akanijulisha nikaelekea huko nikawakuta ndio wapo kwenye kuonyeshana mipaka...nikazuia hilo halikutokea....
Mkuu pole sana kuna watu wamelizwa kwa kununua mabonde ni kilio
 
Back
Top Bottom