Wanakwenda kuficha pesa huko wote akina Mubaraak,Ben,Gadaffi, walikuwa na miradi mikubwa mikubwa huko na fedha nyingi waliwekeza huko pia ,sasa na akina Shein,Jakaya,Seif wataficha pesa zao huko,kwa sababu pamoja na kuwa ni nchi ya kiislamu lakini inamahusiano mazuri ya kidplomasia na west na America,