saidi yakoub
Member
- Nov 1, 2015
- 21
- 22
Jeshi la uturuki lipo mpakani mwa syria na iraq ambapo linafanya mazoezi ya nguvu.
Sababu ya kufanya hivyo ni kutopenda kufanyika kwa kura ya maoni ya jimbo la wakurdi wanaotaka kujitenga kutoka serikali kuu ya mjini bagdad.Uturuki inaona kutangaza uhuru kwa jimbo hilo ni kuchochea machafuko zaidi mashariki ya kati na imepanga kulichukua eneo la kaskazini ya iraq pamoja na kaskazini ya syria iwe sehemu ya uturuki.Kumbuka watu jamii ya waturkmen wanaishi kaskazini ya syria na iraq na ni jamii moja na watu wa uturuki.
Jee unahisi uturuki inaweza kweli kuikalia kijeshi eneo la kaskazini ya iraq pamoja na syria
Sababu ya kufanya hivyo ni kutopenda kufanyika kwa kura ya maoni ya jimbo la wakurdi wanaotaka kujitenga kutoka serikali kuu ya mjini bagdad.Uturuki inaona kutangaza uhuru kwa jimbo hilo ni kuchochea machafuko zaidi mashariki ya kati na imepanga kulichukua eneo la kaskazini ya iraq pamoja na kaskazini ya syria iwe sehemu ya uturuki.Kumbuka watu jamii ya waturkmen wanaishi kaskazini ya syria na iraq na ni jamii moja na watu wa uturuki.
Jee unahisi uturuki inaweza kweli kuikalia kijeshi eneo la kaskazini ya iraq pamoja na syria