TCRA ndio nani? Watu tunaibiwana haya makampuni ya simu Daily,utakuta mtua kaweka salio ila baada ya mda lina yeyuka bila hata kututumia wengine wanachajiwa caller tune wakat hawajaomba na madudu mengine kadha wakadha mbona hatuwaoni wakitetea walaji?? au hao TCRA ni kwaajili ya hawa wados?