Kati ya sehemu rahisi kupata kazi hapa Tanzania ni kwa kupita utumishi, utumishi hawajali una GPA ya ngapi, wewe ni wa wapi, umetoka chuo gani(provided inatambulka na TCU).
Mimi ni mmoja kati ya watu niliopata ajira kupitia utumishi na pia marafiki zangu wengi wamepata kwa kupitia utumishi.
back to your request, ili kuitwa kwenye interview ya utumishi( 1st interview) lazima uwe umetimiza masharti yaliyowekwa kwenye tangazo( application tu ya kazi ni first of first interview) ama pia ni sehemu ya mchujo kwani watu ni wengi wanao apply.
Ndugu ni vigumu sana kuitwa kama hukuzingatai utaratibu wa tangazo, but i hope utapata kazi soon kupita utumishi provided umezingatai msharti ya tangazo, Nimeamu kukuambia kwa undani kwani nakumbuka sikuitwa na TAKUKURU kisa niliandika barua kwa kutype.
Main things ya kuzingatia wakati unapeleka barua posta ya kuombea kazi utumishi;
1. Umeandika barua na mkono
2. Umeambatanisha copy ya vyeti husika tu
3.Umeatach vyeti kwa pamoja
4.Umeandika apl juu ya bahasha.
5. Umetuma kwa anuani sahihi ya utumishi
6,umetuma kwa njia ya anuani ya kawaida i mean do not send via EMS,register,
7. Kumuomba Mungu ifike salama.
Nice application na karibu kazini