Utumishi Moshi Manispaa kwafukuta


Jamani tuache uzushi tufanye kazi.. hizo stress zako nenda hospitali.. kuna miongozo na vigezo vya mtu kupanda cheo...
Kama sisi walimu unatakiwa kuwa na oprass kama 4 na anaenza leo kazi ndan ya miaka 5atapanda..
Ungesema tujiunge kusisitiza miongozo kandanizi kwa watumishi ilekebishwe sawa na sio wew uwe unazurula tu huna opras alafu unataka kupata daraja..
Wajibu na HAKI Ndg... Pia acha kutumia jina la Mzalendo wetu mh. Rais kwan yeye anataka wachapa kazi sio walalamikaji kwenye mitandao kama wew
 
Nikushukuru kwa mchango wako walau umechangia kwa staha sana. Nikusaidie tu kwamba nimeshajaza OPRAS kama sita na nipo kazini kwa zaidi ya miaka 7 labda huyo unayemfikiria ni mwingine. Anyway, walau malalamiko yetu yanafanyiwa kazi japo ni kwa kuwashusha waliopandishwa badala ya kuwapandisha ambao hawajapandishwa. Kikulacho ki nguoni mwako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…