ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,637
- 57,015
Wakuu hii sio hali ya kawaida sidhani Kama nchi nyingine hali ipo hivi yaani hata post moja tu hamna...suala la ajira ni gumu kote lakini sitaki kuamini kama Serikali inashindwa kuwa na utaratibu kuwa kila mwezi imwage ajira 500 tu walahu kidogo tungepunguza tatizo maana watumishi Wanastaafu na wengine wanafariki.

