akilimalikisuse JF-Expert Member Sep 12, 2014 263 138 Oct 12, 2018 #1 Tafadhali wana jamvi,mwenye kujua namna ya kupoka chakula cha utumbo chukuchukuku na chapati za maji anisaidie,Nimetumia neno chukuchuku nikiwa na maana (isiwe na mafuta wala maviungo viungo mengi)
Tafadhali wana jamvi,mwenye kujua namna ya kupoka chakula cha utumbo chukuchukuku na chapati za maji anisaidie,Nimetumia neno chukuchuku nikiwa na maana (isiwe na mafuta wala maviungo viungo mengi)
Glenn JF-Expert Member May 23, 2015 65,821 156,962 Oct 12, 2018 #3 ukhuty said: naja Click to expand... honey
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Nov 5, 2018 #4 Unaosha vizuri sugulia Na ndimu kupunguza harufu kali ya utumbo. Katakata vipande Weka tangawizi Na saumu vilivotwanga pamoja Na chumvi. Piilipili manga Na uzile. Changanya ivo viungo vyote weka kwenye moto chemsha huku unakorogea visiungue. Weka maji wastani uwe unaongezea ongezea hadi uwe laini. Karibia dakika 10 kuepua weka ndimu.na pilipili ongeza Na chumvi kama itahitajika. Epua enjoy . Unaweza kuweka Na veggies upendazo.
Unaosha vizuri sugulia Na ndimu kupunguza harufu kali ya utumbo. Katakata vipande Weka tangawizi Na saumu vilivotwanga pamoja Na chumvi. Piilipili manga Na uzile. Changanya ivo viungo vyote weka kwenye moto chemsha huku unakorogea visiungue. Weka maji wastani uwe unaongezea ongezea hadi uwe laini. Karibia dakika 10 kuepua weka ndimu.na pilipili ongeza Na chumvi kama itahitajika. Epua enjoy . Unaweza kuweka Na veggies upendazo.