Hao kina misifa maisha yao hoi bin taban Oh mi nilisoma na waziri fulani usimuone hiv darasan alikuwa akinitazamia, anaongea hayo wkt ananinginia kwenye matatu surual ina viraka saba lkn ****** yanaonekana kila kiraka kinauliza wee mwenzangu kakuweka mwaka gani manake mimi nina karne hapa lkn kati yangu na wewe cjui katangulia nani naanza kupoteza network