MKuu serikali ikiamua,hata hivyo vihela vyako ulivyoweka nmb watachukua na huna cha kufanya,halafu muelewe UTT hawatunzi pesa ya mtu,wao wakichukua hyo pesa yako,wanaenda kuwekeza maeneo mbali mbali,ikiwemo kwenye mabenki kwenye account maalumu za riba,wanaweka hela kwenye bond za serikali na pia wanaweka kwenye Hisa..
Ile faida ikipatikana,ndo unalipwa wewe sasa.