Utoto raha sana

Utoto raha sana

google helper

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
9,667
Reaction score
13,868
Habar zetu wanajamvi, hivi ndivyo nilivyokuwa nikiamini utoton sijui ww dunia nzima ni kabila letu baba anawaweza ngumi watu wote dunian watoto wanaletwa na ndege mpaka hospital ndo wauzwe Mungu anaishi kanisani ukitaka kumwona unamwona ukilia usiku saut inapotea karibun wenzang tukumbuke tulikotoka.
 
Nikisikia watu wanaongea fulani kala pesa najiuliza siku nzima hivi mtu anawezaje kula sarafu kama sh. 10 na 20 na noti ya sh 100 na 200
 
Nilikuwa nikisikiliza radio nilikuwa najiuliza hawa watu wameingiaje humu siku moja almanusra niivunje radio ilikuwa ya mkulima niwatoe watoto waliokuwa wanaimba kipindi cha cheichei shangazi da utoto raha sana.
 
Mwisho wangu wa kuona, yaani mawingu yanapoangukia nilijua ndiyo mwisho wa dunia
 
Nikisikia watu wanaongea fulani kala pesa najiuliza siku nzima hivi mtu anawezaje kula sarafu kama sh. 10 na 20 na noti ya sh 100 na 200
very inquisitive kid you were. Mkuu wewe ni mtafiti siku hizi?
 
Habar zetu wanajamvi, hivi ndivyo nilivyokuwa nikiamini utoton sijui ww dunia nzima ni kabila letu baba anawaweza ngumi watu wote dunian watoto wanaletwa na ndege mpaka hospital ndo wauzwe Mungu anaishi kanisani ukitaka kumwona unamwona ukilia usiku saut inapotea karibun wenzang tukumbuke tulikotoka.

raha sana
 
raha baada ya kubalehe ukutane na demu. sikujua mwisho wa mchezo utakua vile. yaani masikio yaliziba pumzi haiingii. macho hayaoni. damu imesiama. yaani bao la kwanza lilikua tamu sitasahau.
 
daah umenikumbusha mbal sana. wakt navunja ungo mama aliniambia mwanaume akinigusa tu nakufa. basi nilihama deski langu kwasabb nilikuwa nakaa na mvulana. mwl alinichapa sana.
 
Nilikuwa najisemesha nikiona karibu nakufa nakimbilia milimani kujificha
 
Nilikuwa napalaza na kiwembe ili zivu ziote haraka
 
jiko la tambi aka la mchina nilikuwa naliwasha kwa kutumia njiti moja kwa kila tambi, yaani kama lina tambi nane basi njiti nane lazima zitumike!
 
nilikua na kyupi moja tu. siku nikiifua naendelea na shuguli zangu kama kawa
 
huo ni utoto wa miaka ipi? maana watoto wa saiv ni balaa waliniibia CD yangu chumbani.
 
Back
Top Bottom