Utopolo msipoamka unapigwa na maboss zenu

Utopolo msipoamka unapigwa na maboss zenu

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,506
Reaction score
5,097
Nimefuatilia vizuri hizi barua kwa uelewa wangu nimegundua kwamba nyumamwiko kuna mchezo wanacheze wa na watu waliowaamini kwenye club yao.

Team ina udhamini, jezi, viingilio, bonus za kushiriki club bingwa iweje kila mwaka mnaposajiri wachezaji hamlipi na badala yake mnategemea TFF wawakate juu kwa juu???? Mapato yenu yanakwenda wapi??

Yaan ni sawa mtu aje kwako akwambie mm nina ng'ombe kumi tuchange mimi nitachunga baada ya mwaka tugawane, kumbe yeye hana hata ng'ombe badala yake wewe ndio fulsa
 
Uzi wako ulipaswa kuorodhesha hivyo vyanzo vya mapato vyote na jumla ya mapato kisha uje kumalizia na matumizi ili tupate uhalisia wa jinsi wizi unavyotendeka
 
Nimefuatilia vizuri hizi barua kwa uelewa wangu nimegundua kwamba nyumamwiko kuna mchezo wanacheze wa na watu waliowaamini kwenye club yao.

Team ina udhamini, jezi, viingilio, bonus za kushiriki club bingwa iweje kila mwaka mnaposajiri wachezaji hamlipi na badala yake mnategemea TFF wawakate juu kwa juu???? Mapato yenu yanakwenda wapi??

Yaan ni sawa mtu aje kwako akwambie mm nina ng'ombe kumi tuchange mimi nitachunga baada ya mwaka tugawane, kumbe yeye hana hata ng'ombe badala yake wewe ndio fulsa
tff ni wapigaji,sisi tunaishi nao kipigaji
 
Nimefuatilia vizuri hizi barua kwa uelewa wangu nimegundua kwamba nyumamwiko kuna mchezo wanacheze wa na watu waliowaamini kwenye club yao.

Team ina udhamini, jezi, viingilio, bonus za kushiriki club bingwa iweje kila mwaka mnaposajiri wachezaji hamlipi na badala yake mnategemea TFF wawakate juu kwa juu???? Mapato yenu yanakwenda wapi??

Yaan ni sawa mtu aje kwako akwambie mm nina ng'ombe kumi tuchange mimi nitachunga baada ya mwaka tugawane, kumbe yeye hana hata ng'ombe badala yake wewe ndio fulsa
Wameambiwa washare hizo barua zilizo kuwa wakiwakumbusha Yanga kulipa ada mpaka sasa kimya.

Barua ile ya TFF ilikuwa ni kumtuliza mdhamini, ila TFF watakuwa wanadaiwa na timu zote zilizo shiriki shirikisho kwa miaka mitatu, watakuwa wanadaiwa na marefa wote walio chezesha hii michuano. Bora Yanga wana misuli, vipi hizo timu nyingine? Vip marefa au nao TFF anawadai.

Lazima uhuni uishe, bado nae Azam ataibuka na barua nyingine, maana ktk misimu mitatu miwili yy ndiye aliyekuwa mdhamini,washa idhalilisha brand yake na hapo lazima atajiuliza zile bil 225 za mismu kumi zipo salama chini ya TFF ikiwa hizo 50mil wameminya.

TFF wanahitaji wapate chomo huru, kwa ajili ya ukaguzi wa mapato ya wadhamini na viwanjani, baada ya hao hiyo ripoti isomwe kwa wadau wote na kupewa copy kila mdau baada ya hapo waandae session kwa wadau wote kwa ajili ya kuhoji uhalali wa hayo matumizi.

Haya sasa mpaka sasa JKT Queens hawaja pewa kombe lao 24/25 na zishapita siku 20,sasa jiulize kombe hawaja pewa na hela zao je? au nao wanadaiwa wamekatwa juu kwa juu na TFF.
 
Wameambiwa washare hizo barua zilizo kuwa wakiwakumbusha Yanga kulipa ada mpaka sasa kimya.

Barua ile ya TFF ilikuwa ni kumtuliza mdhamini, ila TFF watakuwa wanadaiwa na timu zote zilizo shiriki shirikisho kwa miaka mitatu, watakuwa wanadaiwa na marefa wote walio chezesha hii michuano. Bora Yanga wana misuli, vipi hizo timu nyingine? Vip marefa au nao TFF anawadai.

Lazima uhuni uishe, bado nae Azam ataibuka na barua nyingine, maana ktk misimu mitatu miwili yy ndiye aliyekuwa mdhamini,washa idhalilisha brand yake na hapo lazima atajiuliza zile bil 225 za mismu kumi zipo salama chini ya TFF ikiwa hizo 50mil wameminya.

TFF wanahitaji wapate chomo huru, kwa ajili ya ukaguzi wa mapato ya wadhamini na viwanjani, baada ya hao hiyo ripoti isomwe kwa wadau wote na kupewa copy kila mdau baada ya hapo waandae session kwa wadau wote kwa ajili ya kuhoji uhalali wa hayo matumizi.

Haya sasa mpaka sasa JKT Queens hawaja pewa kombe lao 24/25 na zishapita siku 20,sasa jiulize kombe hawaja pewa na hela zao je? au nao wanadaiwa wamekatwa juu kwa juu na TFF.
Habari za studio clouds fm?
 
Wamebebana kimya kimya, leo TFF na Bodi wameamua kusimamia haki tunasikia milio kila mahali. Ooh zawadi ndogo, ooh nilipe pesa zangu, ooh mara JKT Queens hawajapewa kombe lao. Yaani wewe JKT Queens anakuhusu nini kama siyo kuchanganyikiwa.

Yaani mmevurugwa kisa tu hamtaki kucheza derby ya 15/06, mmebaki tu kusambaza fitna na majungu. Tuliwaambia mtacheza hata kwa fimbo.
 
Back
Top Bottom