Utofauti uliopo kati ya wanasayansi wa sasa na wazamani

QE is not a new theorem while String theorem was first studies in the 1960's.

Depends on your frame of reference. It takes very long time to come up with such big theories therefore between 19 to 20 Century they are new. But if you think for a period of five years then they are not and you will never get them I am sorry.
 
kwanza hongera kwa kujiuluza maswali kama hayo kama mwana-intelijensia wa hapa jamvini
pili kabla hatujaenda mbali ningependa nikupe homework, katafute utofauti wa maneno hayo mawili "KUGUNDUA na KUVUMBUA" kwani naona umeyatumia bila mipangilio
kwa upande wangu naweza kusema kuwa enzi za akina COPERNICUS, GALILEO, NEWTON, KEPLER, DA VINCI, FARADAY N.K. walikua na mavichwa manene mno(fikiria sana) tofauti na sasahivi ambapo mabadiliko makubwa ya ki-teknolojia yamechukua nafasi, hii inamaanisha kuwa zamani watu walikua na mambo machache ubongoni na idea ngumu kumeza zilikuwa nyingi za kutosha kwahiyo hata ku-concentrate kwenye jambo moja ilikua rahisi tofauti na sasa,
sasahivi mambo mengi sana yamerahisishwa sana kwahiyo inakuwa ngumu kidogo kwa baadhi ya watu kuumiza medulla zetu kwani karbu kila kitu kipo in a simple way
kitu pekee ambacho kina sababisha huo utofauti wa wanasayansi wa kale na wasasa hapa duniani ni ubongo pekee
mf.
miracles zote zilizofanywa na wright brothers, Henry ford, Thomas Edison, Einstein, Faraday n.k.(the list goes on and on) zilianzia ubongoni na baadae zikawa observed physically, zamani kulikuwa hakuna idea za revolution of a planet earth around the sun mpaka pale Copernicus alipokuja na theory zake
i'm not going to accept your conclusion kwamba hakuna kitakachoweza kugunduliwa because you cant predict the future
Cc. Monstgala, Kiranga, Dreson4, Eiyer Ishmael, mkwesya Makambo, Mkuu wa chuo, @sibertech, @D'revis, na wengineo wooooote

.made in mby city.
Namuona Thomas Edison wapi Nikola Tesla
 
Last edited by a moderator:
ni kweli wanasayansi wa sasa wamerahisixha vitu vingi na kuviboresha lakini pamoja na kufanya hivyo me naona kuwa athari zinazotokea kutokana na vi2 ambavyo wamegundua ni kubwa ukilinganisha na wanasayansi wa zamani (old scientist).!
 
ni kweli wanasayansi wa sasa wamerahisixha vitu vingi na kuviboresha lakini pamoja na kufanya hivyo me naona kuwa athari zinazotokea kutokana na vi2 ambavyo wamegundua ni kubwa ukilinganisha na wanasayansi wa zamani (old scientist).!

jaribu kutoa na mifano mkuu Anold S

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
Science ni sasa bna , Newton anazaliwa anakuta hakuna mtu yoyote aliendika juu ya gravity field watu wanai ona na wana experience hii gravity ila hawakuiandika, bado ana state laws zake tatu za motion easly Kabisa, Albert Einstein ana imagine madude kama black holes,photo electricity tuna pata solar panel,Photocell na relays, Albert anasema E=mc2 , Gilbert william anaandika makala juu ya uwepo wa umeme na kuipa nguvu hii jina la electricity miaka 1500 anaeleza kidogo mno mwanaume Nikola Tesla anasuka Alternator, Ac motor,Ac lamps sambamba Transformers anarusha mawimbi kwa njia ya radio, Aisee Leonard da vinci anachora mchoro wa Helicopter tuu full kumwagiwa credit mara ndo mgunduzi mara nini Wright Brother wanatulia na kusuka first protype Fly machine
 
Wanasayansi wa sasa ni wanahistoria kuanzia hesabu zote ni historia, physics ni historia chemistry ni histori ila wanajalibu kuongezea nyama historia
 
Back
Top Bottom