njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Mnaombwa wote wana utopolo msikose jumapili kutakuwa na suprise kubwa sana anashuka
prince Dube,
Siphiwe Tshabalala legendary wa south africa
na jopo la makocha kutoka team ya Auxerre ya ufaransa
Wote hao wameomba kujiunga na team hiyo baada ya kufurahishwa na ujio wa msemaji mpya ambaye anaaminika ndiye aliisaidia simba kuifikisha robo fanali mara mbili Africa ndani ya miaka 3
msemaji huyo mpya anaaminika ndiye sababu kubwa iliyosababisha viwango vikubwa vya wachezaji kama Luis na chama na alisaidia sana klabu kupata pesa nyingi hali iliyosababisha Team hiyo yake ya zamani kulipa mishahara mizuri na kwa wakati
Kuhusu makocha watakuja kama wasaidizi wa Mtunisia ambaye naye yuko hatihati kuikimbia team kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa maandalizi
prince Dube,
Siphiwe Tshabalala legendary wa south africa
na jopo la makocha kutoka team ya Auxerre ya ufaransa
Wote hao wameomba kujiunga na team hiyo baada ya kufurahishwa na ujio wa msemaji mpya ambaye anaaminika ndiye aliisaidia simba kuifikisha robo fanali mara mbili Africa ndani ya miaka 3
msemaji huyo mpya anaaminika ndiye sababu kubwa iliyosababisha viwango vikubwa vya wachezaji kama Luis na chama na alisaidia sana klabu kupata pesa nyingi hali iliyosababisha Team hiyo yake ya zamani kulipa mishahara mizuri na kwa wakati
Kuhusu makocha watakuja kama wasaidizi wa Mtunisia ambaye naye yuko hatihati kuikimbia team kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa maandalizi