Utitiri wa wachina kariakoo: Hongera JK kuleta wawekezaji...!

mchemsho

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
3,212
867
serikali ya mkuu wa kaya imeufyata kabisa kutimua wavamizi wa kichina waliorudikana soko kuu la kariakoo wakipora Frame za wazawa kwa bei za kupaa, huku wakitumia frame hizo kuuza viatu na mitumba uchwra ambazo hata wafanyabishara wazawa wanamitaji na wamekuwa wakizifanya..JK fanya maamuzi magumu utimue Wachina kariakoo kwa kuwa wanadumaza sana wafanyabiashara wazalendo....hii ni taarifa tu.
 
We subiri miaka 10 mpaka 15 ijayo hawa watakuwa wameiteka nyara Tanzania na jinsi population yao ilivyokuwa kubwa tutabaki tunalia na kusaga meno nchi imetekwa na Chinese. Wengine ukisema hivi wanakuona racist.
 
huyu jamaa ana-implement strategies zake za kiswahiliswahili!!uwezo mdogo!
 
Ha ha haaaaaa eti wawekezaji!!! wawekezaji wa kuuza karanga na maua ya plastic? Mi sijui tunaelekea wapi, aah niko tired ile mbaya, yaani nchi imevamiwa tunaibiwa mchana na usiku, tumekua shamba la bi kizee, tumejikalia watu wanaiba hata nguvu ya kuwafukuza hatuna lol!!!!!!!!!!!!!
 
serikali ya mkuu wa kaya imeufyata kabisa kutimua wavamizi wa kichina waliorudikana soko kuu la kariakoo wakipora Frame za wazawa kwa bei za kupaa, huku wakitumia frame hizo kuuza viatu na mitumba uchwra ambazo hata wafanyabishara wazawa wanamitaji na wamekuwa wakizifanya..JK fanya maamuzi magumu utimue Wachina kariakoo kwa kuwa wanadumaza sana wafanyabiashara wazalendo....hii ni taarifa tu.

Mtavuna mlichokipanda November mwaka jana
 
Hivi ule muda aliotoa waziri wa hawa wachina wa kariakoo waondoke bado haujaisha?
 
Ufaransa pana miaka ya 90 walianza kufukuza Waafrica kutoka kwao. Wakawakamata kibao na kuanza kuwatia kwenye ndege. Rais Bongo wa Gabon alitoa onyo kwa Ufaransa kuwa "kila M-Gabon mmoja akitua Gabon kutoka Ufaransa, yeye anarudisha Wafaransa 10".

Wafaransa waliufyata na hadi leo hawawagusi Wagabon.
 
Ufaransa pana miaka ya 90 walianza kufukuza Waafrica kutoka kwao. Wakawakamata kibao na kuanza kuwatia kwenye ndege. Rais Bongo wa Gabon alitoa onyo kwa Ufaransa kuwa "kila M-Gabon mmoja akitua Gabon kutoka Ufaransa, yeye anarudisha Wafaransa 10".

Wafaransa waliufyata na hadi leo hawawagusi Wagabon.

lazima tukubali dunia imebadilika
mwenye kisu ndiye mla nyama
mwenye akili ndiye atanusurika
kama hutumii akili umekwisha,hakuna mtu mwenye uwezo wa kuzuia hili
 
subirini kwanza,
hivi tukiwafukuza na wachina wakafukuza ndugu zetu kule nani atakula hasara?

Hao ndugu zetu wanapata nini kule? Unadhani Wachina wanaruhusu uwekezaji wa kijinga
kama tunavyofanya sisi? Wabongo walioko kule wanaganga njaa tu na kubadilisha mazingira
lakini hakuna cha maana
 
subirini kwanza,
hivi tukiwafukuza na wachina wakafukuza ndugu zetu kule nani atakula hasara?

Hao ndugu zetu kule wanaisaidiaje nchi yetu?Kwa lugha nyingine wana manufaa gani kwa taifa letu?Ni sisi tu tunawakombatia hawa watu.Nchi imekuwa ghala za bidhaa zenye viwango dhaifu na serikali imekaa tu kimya.Hakuna mtu anathubutu kufanya maamuzi.Tutaingia msituni,mark my words,tutaingia tu ili heshima iwepo.Kwa nini viongozi wasiwajibishwe?Nchi ipo kwenye crisis na Rais anakwenda SA kwenye birthday!Kwani ni lazima kusafiri?Kwa nini tunakuwa washabiki wa kisiasa na tunaweka maisha yetu kisiasa na siyo kibinadamu?Tuache upuuzi,lets ACT NOW!
 
Hao ndugu zetu kule wanaisaidiaje nchi yetu?Kwa lugha nyingine wana manufaa gani kwa taifa letu?Ni sisi tu tunawakombatia hawa watu.Nchi imekuwa ghala za bidhaa zenye viwango dhaifu na serikali imekaa tu kimya.Hakuna mtu anathubutu kufanya maamuzi.Tutaingia msituni,mark my words,tutaingia tu ili heshima iwepo.Kwa nini viongozi wasiwajibishwe?Nchi ipo kwenye crisis na Rais anakwenda SA kwenye birthday!Kwani ni lazima kusafiri?Kwa nini tunakuwa washabiki wa kisiasa na tunaweka maisha yetu kisiasa na siyo kibinadamu?Tuache upuuzi,lets ACT NOW!

...haha haha eti bidhaa hafifu,wenyewe hata hizo hafifu hamzalishi sasa unataka watu watembee bila viatu,hizo TV,cellphone,computer mnazotumia bila huyo mchina hata hi JF usingeijua,acha wafanye biashara mpaka wazawa waanze kuzalisha, market forces will take care itself,na nani aliwaambia mkiwafukuza wachina ndio mtaendelea? na FYI watanzania kibao kule China wanasoma mengi tuu kuanzia medicine,Engineering,pharmacy etc kwa scholarship za hao hao wachina,na wengine wengi tuu wanafanya biashara..unafikiri hivyo vitu vyote kuanzia machinery,electronix etc made in china vinaletwa na wachina tuu? ni hao hao wabongo wenzako ndio waagizaji wakubwa wewe lala tuu na siasa zako uchwara..dunia imebadilika hakuna tena ujamaa wa kukulinda!
 
Hao ndugu zetu wanapata nini kule? Unadhani Wachina wanaruhusu uwekezaji wa kijinga
kama tunavyofanya sisi? Wabongo walioko kule wanaganga njaa tu na kubadilisha mazingira
lakini hakuna cha maana

..sio lazima kuandika,kama hujui bora ukae kimya,kukusaidia tuu kuna wanafunzi watanzania maelfu wanasoma vitu vya maana kwa pesa za wachina na wengine wengi tuu wanafanya biashara very legal,unafikiri macontainer maelfu yanayoingia from china kila mwezi pale bandarini ni ya waganga njaa,mnapiga kelele bidhaa fake lakini cha ajabu hakuna hata factory moja ya kutengeneza CD or any electronix equipment kama TV or computer hapo Dar es salaam...sanasana hata hivyo viwanda vyenu vya kupika mikate na sabuni vinafungwa sasa hakuna umeme,kufukuza wachina nakuhakikishia wengi wenu mtaishia kuishi life substandard..i doubt kama 99% ya wabongo mnaweza kununua anything made in Germany/Britain/US,bora mjitahidi na mshukuru hizo bajaji na fong fong or whatever maana BMW,Range or Lincoln will never happen,nakushauri waambie wenzako muingie mtaani kubadili katiba na mgawo wa umeme,rushwa kuliko picking a fight with chinese
 
Back
Top Bottom