mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
serikali ya mkuu wa kaya imeufyata kabisa kutimua wavamizi wa kichina waliorudikana soko kuu la kariakoo wakipora Frame za wazawa kwa bei za kupaa, huku wakitumia frame hizo kuuza viatu na mitumba uchwra ambazo hata wafanyabishara wazawa wanamitaji na wamekuwa wakizifanya..JK fanya maamuzi magumu utimue Wachina kariakoo kwa kuwa wanadumaza sana wafanyabiashara wazalendo....hii ni taarifa tu.