Utility bills ni kitu gani ?

Utility bills ni kitu gani ?

Baba Kapompo

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
1,344
Reaction score
468
Msaada pls kuna website nimejiunga wanataka nivalidate account kwa kuwatumia passport/driving licence or national ID pamoja na utility bill.

Nimetuma scanned document driving license na karatasi niliyonunulia umeme Siku kadhaa zilizopita salsa wamenambia ac Yang bado ni unverified means wameikataa hyo electricity bill.

Msaada kwa wajuz wA mambo..nifanye nn? maana nimewasilina nao wanadai nitume electric.water.gas.phone bill.au cable TV bill.nimetuma ya umeme imegoma au kikubwa ninini had I wadai hivi vitu?
 
Usitume chochote, hao ni wezi tu!

Usijibu kitu kama huna uhakika na nini unaandika.

Utility bill ni bill ya huduma unazopata nyumbani kwako ambazo zinaonesha address ya mahali unapoishi. Ulaya hizo bill zinajumuisha vitu kama UMEME, MAJI, SIMU na KODI. Matumizi ya utility bills ni very common Ulaya wakati wanahitaji kuhakiki address yako.

Passport na driving licence zimetumika kuvalidate IDENTITY yako na hizo UTILITY bils zinatumika kuvalidate ADDRESS yako. Kwa Tanzania ni shida kidogo maana sina uhakika kama bill zinaonesha namba ya nyumba na mtaa unaoishi kama wanavyofanya Ulaya.
 
Usijibu kitu kama huna uhakika na nini unaandika.

Utility bill ni bill ya huduma unazopata nyumbani kwako ambazo zinaonesha address ya mahali unapoishi. Ulaya hizo bill zinajumuisha vitu kama UMEME, MAJI, SIMU na KODI. Matumizi ya utility bills ni very common Ulaya wakati wanahitaji kuhakiki address yako.

Passport na driving licence zimetumika kuvalidate IDENTITY yako na hizo UTILITY bils zinatumika kuvalidate ADDRESS yako. Kwa Tanzania ni shida kidogo maana sina uhakika kama bill zinaonesha namba ya nyumba na mtaa unaoishi kama wanavyofanya Ulaya.

Hongera bana kwa kufika ulaya
 
Back
Top Bottom