sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 638
- 581
Just sugar,readily available sugar.,nothing else or magical. wakiwa wamechoka sana kuku wape glucose kwa wingi .,you will end up exhaustion and will do better.gumboro has some pathological effect in kidneys .,so things like nanasi also helps in effecting kidney functions/performance to normal .also the liver functions are impaired ,so if you have products to improve liver functions like the likes of enzyver,or hepatury if not mistaken in spelling of the products,you will witness wonders of health improvement of your birds.Daaah hiyooo nmeipendaa mkuu binafsi ni mtaalamu wa maabara kutoka maabara kuu ya mifugo taifa ntaifatiliaa hiyooo kisayansi zaid
Sawa Mkuu Ifanyie kutatua hili. napia kuna side effect zimetokea Maana kuku wamekua wakijisaidia kinyesi cheusi tii kam na hakina harufu baada ya kukauka kinakua kama vumbi la mkaa na baadae kinajichanganya na mchanga. kuku walikua walikula nanasi walikua wakiugua kinya kinyesi chenye kama rangi nyekundu ambapo sasa sijaona hata mmoja akijisaidia hivyoDaaah hiyooo nmeipendaa mkuu binafsi ni mtaalamu wa maabara kutoka maabara kuu ya mifugo taifa ntaifatiliaa hiyooo kisayansi zaid
ni kweli mkuu tiba ya gumboro huwa tunawapa sukari unakoroga sukari nyingi kwelikweli ukiwapa kuku wanapona .sio kwamba gumboro haitibikiJust sugar,readily available sugar.,nothing else or magical. wakiwa wamechoka sana kuku wape glucose kwa wingi .,you will end up exhaustion and will do better.gumboro has some pathological effect in kidneys .,so things like nanasi also helps in effecting kidney functions/performance to normal .also the liver functions are impaired ,so if you have products to improve liver functions like the likes of enzyver,or hepatury if not mistaken in spelling of the products,you will witness wonders of health improvement of your birds.
Thank you.
maj lita 3 sukar kiasi gan?ni kweli mkuu tiba ya gumboro huwa tunawapa sukari unakoroga sukari nyingi kwelikweli ukiwapa kuku wanapona .sio kwamba gumboro haitibiki
nusu kg ikolee sanamaj lita 3 sukar kiasi gan?
hapana acha ujingaGumboro ndio kideri?
Hata mm ntaifanyia kazi maana nina uelewa kidogo na hizi dawa za kienyeji za mifugoHabari wanajamii leo napenda kushare na Jamii pamoja na taasisi mbali mbali ili kuthibitisha na kufanya utafiti zaidi kuhusiana na Ugonjwa wa GUmboro kwa Kuku.
Nikiwa mgeni katika sekta ya ufugaji wa kuku wa kienyeji nimekumbana na ugonjwa wa Gumboro kutokana na kuchelewa kutoa Kinga na kupelekea ugonjwa kushambulia vifaranga na kuku wa kubwa.
Baada ya kuthibitisha ni ugonjwa wa gumboro unashambulia kuku wangu na kuripot vifo viwili vya vifaranga huku wengine wakiwa tayari na maambukizi.niliwapa kinga kujaribu kokoa hasara.
baada ya siku ya 3 kutoa kinga kuku wengi walinyong'onyea na kusinzia .siku hiyo majira ya saa 6 siku ya jumapili nikua nimenunua nanasi,mke wangu alilichonga alikuta sehemu kubwa ya nanasi imekua rangi ya udongo/kuharibika na nanasi lenyewe lilikua na sukari kali sana.
sehemu ile iliyokua imeharibika ilikatwa.. Baada ya muda yule kuku alizidiwa alifata harufu ya nanasi na kuanza kulidonodono na kula wengine nao walifata wakaligombania na kulimaliza
nilipoona vile na kuku wamepoteza hamu ya kula niliwaopa na vipande vingine wakaendelea kula baada ya kama dakika 30 yule kuku wa kwanza nilimwona akiwa anachangamka.kuku huyu nilimwona wakwanza kutokana yeye kupenda kukaa mahali nipo. niliwatafuta kuku wengine nao walikua wanacheza cheza na wengine wakila kile chakula kwa kasi.
Leo siku ya 6 sijaona kuku anaezubaa tena na kuharisha.
Huu ni Uthibitisho wangu wa Kuku wangu kupona Gumboro kwa Nanasi ?
Wanajamii na Taasisi za mifugo na kilimo naomba mufanye utafiti Katika Katika nanasi pamoja na jamii yake. huenda likawa ni suluhisho la maradhi mengi kwa KUKU.
ASANTE!
Thax kwakua ni vifaranga ngoja niweke nusu ktk lita2 yakiwa ya uvuguvg nahs poa zaid ili sukar ijichanganye vema sio!?nusu kg ikolee sana
Thax kwakua ni vifaranga ngoja niweke nusu ktk lita2 yakiwa ya uvuguvg nahs poa zaid ili sukar ijichanganye vema sio!?nusu kg ikolee sana
kwani wanaumwa?Thax kwakua ni vifaranga ngoja niweke nusu ktk lita2 yakiwa ya uvuguvg nahs poa zaid ili sukar ijichanganye vema sio!?
hapanakwani wanaumwa?
wape chanjo!hapana
Vichocheo vimekuzidi maana kwa kawaida usingeweka maneno yenye shombo.hapana acha ujinga