mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
Hebu ngoja nikalale...mod wameamua kufumba macho siku hizi
Nimeiangalia hiyo video. Sijaona hiyo jehanamu Na hizo sauti Na mipicha picha hiyo hata Mimi naweza kuitengeneza.ASANTE MKUU UMEWASAIDIA KINA TOMASO
Kwani mkuu makaburi si yapo chini ya ardhi?MI NILISIKIA HIZO HABARI NIKAAMUA KUGOOGLE NA NDIVYO ILIVYO UKWELI. SASA WEWE GOOGLE KAWAIDA UTAPATA HABARI YOTE. AU UNATAKA NIKUAMBIE NA MANENO YA KUGOOGLE?
Haya...!WE NAE, LABDA UGOOGLE NDO UTAELEWA
Unachoongea hapo ni kuzimu. Maana jehanumu mpaka sasa haina mtu, itapata wageni wake wa kudumu baada ya hukumu ya mwisho.Habari zenu wakuu,kwa wale wasomi wanaopinga kua hakuna jehanamu basi wasomi na mageologist kutoka Serbia waliprove hilo.walipokua wanachimba sana kwenda chini ardhini walikutana na shetani pia sauti za wafu wakilia mateso makali ya moto.
Source:Google mi siwezi kuweka links