Uthibitisho kua jehanamu ipo chini

Uthibitisho kua jehanamu ipo chini

Andika hiyo website tuangalie wenyewe kama huwezi kuweka link
 
Habari zenu wakuu,kwa wale wasomi wanaopinga kua hakuna jehanamu basi wasomi na mageologist kutoka Serbia waliprove hilo.walipokua wanachimba sana kwenda chini ardhini walikutana na shetani pia sauti za wafu wakilia mateso makali ya moto.
Source:Google mi siwezi kuweka links
kwi! kwi! kwi!
 
Habari zenu wakuu,kwa wale wasomi wanaopinga kua hakuna jehanamu basi wasomi na mageologist kutoka Serbia waliprove hilo.walipokua wanachimba sana kwenda chini ardhini walikutana na shetani pia sauti za wafu wakilia mateso makali ya moto.
Source:Google mi siwezi kuweka links
hahaaaaa, hao walishikwa na uchizi tu, hakuna kitu kama hicho, ndio maana hujawek hata link
 
Hahahahhahhhahha
Ndivyo mnavyo wadanganya waumini wenu? ?

Jehanam ni watu waongo kama wewe.
Maana unawavizia watu wasio na elimu au uwezo
Mdogo wa kufikiria na wale wasio na exposure.
 
He he he walimuona shetani hawakumpiga picha...?
 
image.jpeg
He he he walimuona shetani hawakumpiga picha...?
Walitwanga naye selfie ekotika hii hapa
 
Habari zenu wakuu,kwa wale wasomi wanaopinga kua hakuna jehanamu basi wasomi na mageologist kutoka Serbia waliprove hilo.walipokua wanachimba sana kwenda chini ardhini walikutana na shetani pia sauti za wafu wakilia mateso makali ya moto.
Source:Google mi siwezi kuweka links
kwa hiyo sauti ndo inathibitisha uwepo wa jehanamu?
 
Aisee hizi imani kweli kila mtu na anavo amini wengine ukisema kuna jahanamu wanakucheka wanasema hakuna kila mtu abaki tu ktk position yake tukifa tutajua ukweli
 
Habari zenu wakuu,kwa wale wasomi wanaopinga kua hakuna jehanamu basi wasomi na mageologist kutoka Serbia waliprove hilo.walipokua wanachimba sana kwenda chini ardhini walikutana na shetani pia sauti za wafu wakilia mateso makali ya moto.
Source:Google mi siwezi kuweka links

MNASO utanasa wengi wasiojua maandiko!
 
Habari zenu wakuu,kwa wale wasomi wanaopinga kua hakuna jehanamu basi wasomi na mageologist kutoka Serbia waliprove hilo.walipokua wanachimba sana kwenda chini ardhini walikutana na shetani pia sauti za wafu wakilia mateso makali ya moto.
Source:Google mi siwezi kuweka links
Haya we jitishe tu halafu usiku uanze kuota ndoto mbaya
 
Yan wasikutane na maji na mafuta wakakutane na shetan mweh jaman
 
Hahahahhahhhahha
Ndivyo mnavyo wadanganya waumini wenu? ?

Jehanam ni watu waongo kama wewe.
Maana unawavizia watu wasio na elimu au uwezo
Mdogo wa kufikiria na wale wasio na exposure.
huyo atakuwa kibwetere anataka kudanganya wenzake
 
Back
Top Bottom