I told you, JK is a very good poor manager, huwezi kuendesha nchi kisiasa badala ya kutumia profesionals!nasikitika kuongozwa na jamaa huyu.
teuzi nyingi za kisiasa, wanajeshi wakorofi kama kina Mayunga, watu wa intelligence wenye info nyingi sana kiasi cha kutishia wakiwa Bongo kama kina Matiku,Mahiga etc, washua waliosaini mikataba mikubwa kama kina Mdee na Marmo, wanaopewa shukurani kwa loyalty kama kina Batilda etc.
Tanzania kumpata "career diplomat" mtu aliyesomea international relations ni nadra sana.