Wanabodi,
Huyu Mheshimiwa ni Double Agent wa Tanzania na CIA, kwa kifupi ni CIA matukio yake yakukumbukwa Awamu ya Tano ya JPM, aliweza kuleta Ndege kubwa yenye huduma za hospital Moja kwa Moja kutoka Marekani hadi KIA na kuwachukua manusura watoto waliopata ajari ya Lucky Vicente MKOANI Arusha hadi leo watoto hao wapo Marekani wanafadhiliwa na mashirika ya kimarekani kutokanq na msaada wa huyu Jasusi - CIA.
Tukio lingine aliwakusanya seneta wa Marekani wapatao 20 wakafika Tanzania na wakawa na nia ya kumuona JPM lakini JPM akachomoa betri hakukutana nao.
Tukio lingine alitumwa kwa kazi maalumu kwenda CHADEMA ambapo kazi aliyoenda kuifanya akafanikiwa akarudisha majeshi katika Chama Hatamu.
Kazi iliyopo mbele yake kwa sasa ni kuhakikisha anawahakikishia jumuiya za Kimataifa Kwamba Tanzania hali ni Shwari na Salama wawekezaji na watalii wanakaribishwa.
Kwa huyu CIA Hii kazi anaiweza namtakia Kila la kheri...!
Sign out
Huyu Mheshimiwa ni Double Agent wa Tanzania na CIA, kwa kifupi ni CIA matukio yake yakukumbukwa Awamu ya Tano ya JPM, aliweza kuleta Ndege kubwa yenye huduma za hospital Moja kwa Moja kutoka Marekani hadi KIA na kuwachukua manusura watoto waliopata ajari ya Lucky Vicente MKOANI Arusha hadi leo watoto hao wapo Marekani wanafadhiliwa na mashirika ya kimarekani kutokanq na msaada wa huyu Jasusi - CIA.
Tukio lingine aliwakusanya seneta wa Marekani wapatao 20 wakafika Tanzania na wakawa na nia ya kumuona JPM lakini JPM akachomoa betri hakukutana nao.
Tukio lingine alitumwa kwa kazi maalumu kwenda CHADEMA ambapo kazi aliyoenda kuifanya akafanikiwa akarudisha majeshi katika Chama Hatamu.
Kazi iliyopo mbele yake kwa sasa ni kuhakikisha anawahakikishia jumuiya za Kimataifa Kwamba Tanzania hali ni Shwari na Salama wawekezaji na watalii wanakaribishwa.
Kwa huyu CIA Hii kazi anaiweza namtakia Kila la kheri...!
Sign out