Hiyo pombe nasikia ni hatari sana na inaleta hasira
Kwasababi wanasema wanapo tengeneza wanatumia na amila kwahiyo ukinywa hiyo pombe ile amili inaenda kutanua moyo.
Hiyo pombe nasikia ni hatari sana na inaleta hasira
Kwasababi wanasema wanapo tengeneza wanatumia na amila kwahiyo ukinywa hiyo pombe ile amili inaenda kutanua moyo.
Nimeshapiga hatua ila nimekosa champagne yeast! Kama unaweza nielekeza pa kuzipata ntashukuru. Hizi za kawaida zinaleta harufu siyo nzuri sana kwenye kinywaji.