Wakati Sheihk akishauri kua wanaozunguka wakidai tume huru ya uchaguzi washughulikiwe.
Unakutana na chama ambacho uchaguzi uliopita kiongozi wa ngome ya vijana wake alichezea kichapo cha mbwa mwizi bila kosa lolote, kikisisitiza kua kitashiriki uchaguzi yani badala ya vyama vyote viungane ili vipate fursa sawa ya kugombea nakuchaguliwa wao wameona ndio fursa kwao kwani watabaki wapinzani pekeao.
Yaani wanafikiri watu ni wajinga hawajui kwanini chama fulani kimejitoa.
Unakutana na chama ambacho uchaguzi uliopita kiongozi wa ngome ya vijana wake alichezea kichapo cha mbwa mwizi bila kosa lolote, kikisisitiza kua kitashiriki uchaguzi yani badala ya vyama vyote viungane ili vipate fursa sawa ya kugombea nakuchaguliwa wao wameona ndio fursa kwao kwani watabaki wapinzani pekeao.
Yaani wanafikiri watu ni wajinga hawajui kwanini chama fulani kimejitoa.