Utendeshwaji dhambi kilazima na wadada

Utendeshwaji dhambi kilazima na wadada

Kwani hawa viumbe wanasikia?
Yaani tena ukiwa kwenye chombo cha usafiri kwenye zile za kushikilia bomba halafu mbele yako yupo umbo mbinuko utajuta kuwa na kiungo kilichojitokeza nje kidogo ya mwili (pipe>) ,

Unaweza sikia konda akisema kwa kumwambia huyo mdada wewe abiria rudi nyuma kuna nafasi naiona hapo, kumbe uliyeko nyuma yake ni ww na hiyo nafas kati yake na ww iko accupied na baadhi ya maumbile yake, sasa bora avae kwa staha unakuta kakuvalia skin jinsi, halafu konda bado anakomaa.... Ww dada rudi nyuma hiyo nafas isiwepo pasipo kujua kumbe kuna mwendelezo wa umbile la mtu na linamgusa jamaa... [emoji23]
 
Back
Top Bottom