Huyu Baba aliyetundika mobile phone kwenye sikio lake, natumaini anafahamu adhari ya radiation na itakuwa imezimwa. Vinginevyo anajitayarishia brain-tumor kwa tabasamu lake hilo!!!!
Hiyo picha ya VAIO inaonyesha kabisa si AFRICA kama Africa ni nchi ipi? kwa mimi inaonyesha kama ni moja ya visiwa vya Pacific, nadhani ni Mauru hiyo kama si Vanuatu.
Huyu Baba aliyetundika mobile phone kwenye sikio lake, natumaini anafahamu adhari ya radiation na itakuwa imezimwa. Vinginevyo anajitayarishia brain-tumor kwa tabasamu lake hilo!!!!