Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Daniel reads the words "MENE, MENE, TEKEL, UPHARSIN" and interprets them for the king: "MENE, God has numbered the days of your kingdom and brought it to an end; TEKEL, you have been weighed ... and found wanting;" and "PERES, your kingdom is divided and given to the Medes and Persians.
Haya ni maandiko yanapatikana katika Biblia Takatifu Kitabu cha DANIEL SURA YA 5.
Haya yanajulikana kama MAANDISHI UKUTANI enzi za Utawala wa Mfalme BELSHAZAR wakati wa karamu kwenye Ikulu yake. Maandishi hayo yaliandikwa kwenye ukuta na MKONO ambao inaaminika ulikuwa ni wa Mungu maana aliyekuwa akinadika hakuonekana isipokuwa mkono peke yake!!
Mungu alichukizwa na Utawala wa Mfalme Belshazar baada ya kulewa na mvinyo(MADARAKA)alianza kujiinua na kujikweza kuliko Wafalme wote waliopita akiwemo Babake mzazi Mfalme Nebukadneza. Kwa kibri aliagiza vifaa vya hekaluni viletwe kwenye karamu ili vitumike kunywea mvinyo na Mungu hakupendezwa na jambo hilo.
Utawala huo wa Belshaza bin Nebukadneza unaweza kulinganishwa kwa kila hali na Utawala huu wa Rais John Joseph Pombe Magufuli. Rais huyu amejikweza na kujiinua sana kiasi cha kukiuka Katiba na kubatiisha SHERIA, KANUNI na TARATIBU za kusimamia na kuongoza nchi kana kwamba yeye ndiyo KATIBA, SHERIA na KANUNI za nji hii. Amekuwa akitengeneza mazingira ya uvunjaji wa Katiba na baadaye kutunga SHERIA na KANUNI ili kufanikisha ulevi wake wa Madaraka.
Magufuli alipoingia tu Ikulu akazuia mikutano yote halali ya vyama vya saisa kwa kisingizio cha kaulimbiu ya HAPA KAZI TU! Kwamba kauli mbiu yake ikawa ndiyo SHERIA!!Kulingana na utendaji wa kazi za kiserikali kiongozi yoyote haruhusiwi kutunga/kuunda sheria ambayoinakiuka KATIBA AMBAYO NI SHERIA MAMA. Baada ya Kelele za vyama vya siasa(UPINZANI) kupinga amri hizo za kibabe na kidikteta kuwa zinakiuka Katiba, Magufuli ameamua kutengeza SHERIA/KANUNI rasmi ili ziingie kwenye sheria za Tanzania ili aweze kuwabana WAPINZANI vizuri zaidi.
Ushahidi ni Muswada wa SHERIA YA VYAMA VYA SIASA uliosomwa kwa mara ya kwanza mwezi uliopita wenye MAUDHUI ya kutaka kuvisambaratisha na kuviua kabisa vyama vya Siasa/Upinzani.
Kwamba MSAJILI/MLEZI wa vyama anaenda kupewa Mamlaka makubwa kabisa ya kufuta,fungia chama chochote cha siasa kwa amri yake tu. Ikumbukwe kwamba Msaji ni Mteule wa Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM..!!! Sheria hii OVU inakwenda mbali zaidi kwa Msajili kutoa amri kwa vyama vyote vya siasa(isipokuwa CCM)kumfukuza/kumkataa/kumzuia mwanachama yeyote kujiunga na chama kingine..!! Katika sheria hii Msajili pia ana mamlaka ya kukataa au kukubali AINA ya MAFUNZO ambayo chama kitataka kuyaendesha ndani ya chama.
Lengo hapa ni kudhibiti vyama vya siasa ili ifikapo mwaka 2020 kabla ya Uchaguzi Mkuu kusiwe na chama chochote tishio kwa CCM ya Magufuli. Lakini hapo hapo Magufuli kwa kiburi chake amekwenda mbali zaidi kwa KUTAKA KUWADHIBITI hata wana CCM waliko ndani ya chama hasa wale ambao wanaelekea kuwa na USHAWISHI ndani ya CCM kiasi cha kutishia kumwondoa Magufuli baada ya miaka 5.Inaelekea Magufuli hataki kusikia hiyo habari mbaya kuwa kuna wana CCM wana mipango ya kumzuia Magufuli asimalizie miaka yake 5 ya mwisho kwasababu ya UTAWALA wake wa kilevi ambao tayari umneanza kukipasua chama TAWALA.
Kadri mwaka 2020 unavokaribia hali ndani ya CCM inazidi kuwa tete na yenye mashaka makubwa. Kuna kila mbinu zimeanzishwa kutaka kuwanyamzisha wale wote wanaoonekana kuwa kinyume na Magufuli na wengi ni WALE WALIOMSAIDIA MAGUFULI KUINGIA KWENYE URAHISI HUU. Lakini kwasababu ya ulevi tu yale yote ambayo MAKADA wa CCM walimtendea Magufuli ili kumwenzesha aingie IKULU amewageuka na wengi wao keshawaondoa kwenye nafasi muhimu alizowapa kama Uwaziri na Nafasi zingie nyeti ili tu kuwapunguza nguvu zao ndani ya CCM. Bila shaka kinachofuata ni KUWATIMUA ndai ya Chama ili wasimsumbue. Angalia kinachoendelea kati ya Bashiru na Bernad Membe, Nnape Nauye,Mwigulu Nchemba,Abdurhaman Kinana,Pius Msekwa Yusufu Makamba na wengineo. Magufuli kwa kutumia ujanja wa kipaza sauti cha CYPRIAN MUSIBA ili kuficha sura yawa kuwatisha viongozi hao wasifurukute au wabadilike.
Haya yote ni MAANDIKO UKUTANI kwa CCM hii. Very soon Daniel atajitokeza kuwapa Watanzania maana yake na hatima ya Utawala huu kama ilivokuwa kwa Mfalme Belshaza ambaye UTAWALA/UFALME wake Mungu alikuwa amehasabu siku za UTAWALA. na AMEUPIMA na kuamua kuufikisha MWISHO kwa mkono wa Mungu baada ya Mfalme kuonesha ULEVI, KIBRI, JEURI, DHARAU na KEJELI kwa Wananchi waliomchagua/ambao hawakumchagua. HISTORIA siku zote hujirudia. Kinacho fuata kwa CCM kabla ya 2020 kinafurahisha. Watanzania just stay tuned!
Haya ni maandiko yanapatikana katika Biblia Takatifu Kitabu cha DANIEL SURA YA 5.
Haya yanajulikana kama MAANDISHI UKUTANI enzi za Utawala wa Mfalme BELSHAZAR wakati wa karamu kwenye Ikulu yake. Maandishi hayo yaliandikwa kwenye ukuta na MKONO ambao inaaminika ulikuwa ni wa Mungu maana aliyekuwa akinadika hakuonekana isipokuwa mkono peke yake!!
Mungu alichukizwa na Utawala wa Mfalme Belshazar baada ya kulewa na mvinyo(MADARAKA)alianza kujiinua na kujikweza kuliko Wafalme wote waliopita akiwemo Babake mzazi Mfalme Nebukadneza. Kwa kibri aliagiza vifaa vya hekaluni viletwe kwenye karamu ili vitumike kunywea mvinyo na Mungu hakupendezwa na jambo hilo.
Utawala huo wa Belshaza bin Nebukadneza unaweza kulinganishwa kwa kila hali na Utawala huu wa Rais John Joseph Pombe Magufuli. Rais huyu amejikweza na kujiinua sana kiasi cha kukiuka Katiba na kubatiisha SHERIA, KANUNI na TARATIBU za kusimamia na kuongoza nchi kana kwamba yeye ndiyo KATIBA, SHERIA na KANUNI za nji hii. Amekuwa akitengeneza mazingira ya uvunjaji wa Katiba na baadaye kutunga SHERIA na KANUNI ili kufanikisha ulevi wake wa Madaraka.
Magufuli alipoingia tu Ikulu akazuia mikutano yote halali ya vyama vya saisa kwa kisingizio cha kaulimbiu ya HAPA KAZI TU! Kwamba kauli mbiu yake ikawa ndiyo SHERIA!!Kulingana na utendaji wa kazi za kiserikali kiongozi yoyote haruhusiwi kutunga/kuunda sheria ambayoinakiuka KATIBA AMBAYO NI SHERIA MAMA. Baada ya Kelele za vyama vya siasa(UPINZANI) kupinga amri hizo za kibabe na kidikteta kuwa zinakiuka Katiba, Magufuli ameamua kutengeza SHERIA/KANUNI rasmi ili ziingie kwenye sheria za Tanzania ili aweze kuwabana WAPINZANI vizuri zaidi.
Ushahidi ni Muswada wa SHERIA YA VYAMA VYA SIASA uliosomwa kwa mara ya kwanza mwezi uliopita wenye MAUDHUI ya kutaka kuvisambaratisha na kuviua kabisa vyama vya Siasa/Upinzani.
Kwamba MSAJILI/MLEZI wa vyama anaenda kupewa Mamlaka makubwa kabisa ya kufuta,fungia chama chochote cha siasa kwa amri yake tu. Ikumbukwe kwamba Msaji ni Mteule wa Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM..!!! Sheria hii OVU inakwenda mbali zaidi kwa Msajili kutoa amri kwa vyama vyote vya siasa(isipokuwa CCM)kumfukuza/kumkataa/kumzuia mwanachama yeyote kujiunga na chama kingine..!! Katika sheria hii Msajili pia ana mamlaka ya kukataa au kukubali AINA ya MAFUNZO ambayo chama kitataka kuyaendesha ndani ya chama.
Lengo hapa ni kudhibiti vyama vya siasa ili ifikapo mwaka 2020 kabla ya Uchaguzi Mkuu kusiwe na chama chochote tishio kwa CCM ya Magufuli. Lakini hapo hapo Magufuli kwa kiburi chake amekwenda mbali zaidi kwa KUTAKA KUWADHIBITI hata wana CCM waliko ndani ya chama hasa wale ambao wanaelekea kuwa na USHAWISHI ndani ya CCM kiasi cha kutishia kumwondoa Magufuli baada ya miaka 5.Inaelekea Magufuli hataki kusikia hiyo habari mbaya kuwa kuna wana CCM wana mipango ya kumzuia Magufuli asimalizie miaka yake 5 ya mwisho kwasababu ya UTAWALA wake wa kilevi ambao tayari umneanza kukipasua chama TAWALA.
Kadri mwaka 2020 unavokaribia hali ndani ya CCM inazidi kuwa tete na yenye mashaka makubwa. Kuna kila mbinu zimeanzishwa kutaka kuwanyamzisha wale wote wanaoonekana kuwa kinyume na Magufuli na wengi ni WALE WALIOMSAIDIA MAGUFULI KUINGIA KWENYE URAHISI HUU. Lakini kwasababu ya ulevi tu yale yote ambayo MAKADA wa CCM walimtendea Magufuli ili kumwenzesha aingie IKULU amewageuka na wengi wao keshawaondoa kwenye nafasi muhimu alizowapa kama Uwaziri na Nafasi zingie nyeti ili tu kuwapunguza nguvu zao ndani ya CCM. Bila shaka kinachofuata ni KUWATIMUA ndai ya Chama ili wasimsumbue. Angalia kinachoendelea kati ya Bashiru na Bernad Membe, Nnape Nauye,Mwigulu Nchemba,Abdurhaman Kinana,Pius Msekwa Yusufu Makamba na wengineo. Magufuli kwa kutumia ujanja wa kipaza sauti cha CYPRIAN MUSIBA ili kuficha sura yawa kuwatisha viongozi hao wasifurukute au wabadilike.
Haya yote ni MAANDIKO UKUTANI kwa CCM hii. Very soon Daniel atajitokeza kuwapa Watanzania maana yake na hatima ya Utawala huu kama ilivokuwa kwa Mfalme Belshaza ambaye UTAWALA/UFALME wake Mungu alikuwa amehasabu siku za UTAWALA. na AMEUPIMA na kuamua kuufikisha MWISHO kwa mkono wa Mungu baada ya Mfalme kuonesha ULEVI, KIBRI, JEURI, DHARAU na KEJELI kwa Wananchi waliomchagua/ambao hawakumchagua. HISTORIA siku zote hujirudia. Kinacho fuata kwa CCM kabla ya 2020 kinafurahisha. Watanzania just stay tuned!