Utawala huu ni kwapua kwapua?

Utawala huu ni kwapua kwapua?

Wakurogwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
216
Reaction score
39
Mi ni mgeni kidogo katika ufuatiliaji Wa kazi za serikali.Siku za karibuni walao nimejitahidi kufuatilia.Kila bunge likikaa lazima litajadili wizi unaofanywa kwenye wizara na idara mbalimbali za serikali.Mikataba mibovu as if wanaosaini mikataba si watanzania vile.Hivi hali Hii ni utawala Wa Mwinyi na Mkapa ulikuwa hivi hivi.Wezi wanalindwa sana CAG anafanya kazi take vizuri kwa kuumbua wezi
 
Mkuu kwa ushauri wa bure kuwa makini sana na mihemko ya bungeni. Kipindi cha lala salama hiki.
 
Back
Top Bottom