no9
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 188
- 18
Waache watu wafunguke, waongee kinachowakela,wafichue maovu bila kutishwa,unawashirikisha watu kutoa mawazo yao,wanakukosoa unapokosea,ukarimu,ukiona mtu anatawala kwa mabavu, dikiteta hakuna uhuru kwa wataliwa basi hata akibomoa nyumba hawezi jenga tena lakini huyu mwenye utawala bora anaweza bomoa nyumba na kuijenga kwa kujilekebisha kutokana na mawasliano bora na watawaliwa.najua kuna watu humu hatanielewa lakini ukitafakali utanielewa.