kijana paul
Member
- Jul 17, 2014
- 91
- 6
Niulize chochote kuhusu st joseph college of engineering dar es salaam
Kina ubora kama wanavo jinadi au wapo ki business
unamaanisha upande wa kozi za education au sio?vp upande wa civil eng naskia vijana wana nyooka na gpa za kufa mtu ni kweli hayo?kila kitu kingne kipo poaa...ila education ndo wameshindwaa
unamaanisha upande wa kozi za education au sio?vp upande wa civil eng naskia vijana wana nyooka na gpa za kufa mtu ni kweli hayo?
hahahah....yeah kozi za education mi sishaur mtu maana mi nasoma pale...kuhusu gpa wengi hupata gpa kubwa mwaka wa kwanzaa kutokana na kwanza wote i mean faculty zote wanasoma kitu kinaitwa general engineering...haijalish unachukua civil au mechanical...na kinachofundishwa pale ni msingi tu...na vingi ni marudio..ndo maana gpa huwa ni kubwa
hahahah....
Hey na life likoje aisee.mtu ana uhakika wa kupata hostel miaka yote 4 au unapanga mtaani?
hostel zipo kwa wasichana tu na sio kwa wote baadhi na sheria ni ngumu za pale...ila kwa boys ni kupanga mtaan around chuo..mtu anatakiwa ajipange
Mkuu vipi kwa mechanical??
Workshop zao zinavifaa???
yeah workshop zipo na zina vifaa
yeah workshop zipo na zina vifaa
Mkuu Nasikia Kwa Siye Ambao Pesa Ni Za Kulengalenga Ni Bora Tuombe Transfer Mapema?
Niulize chochote kuhusu st joseph college of engineering dar es salaam
Kuna rafiki yangu kachaguliwa hapo education,naomba namba yako ya simu ili awasiliane na wewe kupata kujua mambo muhimu
Iv ni lazma uwe na account ya crdb iliupokee boon
Iv ni lazma uwe na account ya crdb iliupokee boon
ase muhindi ana masihara na pesaa yake...ukiwa ja pesa utasoma kwa amani...ukiwa na mkopo kidgo inakuaa nafuu