Utata waibuka UKAWA

Tatizo lenu watanzania wabovu nyote sisi kwetu hakuna ujinga wa namna hii,,TATIZO NI WENYE KAULI
 
mbowe anapenda sana wakamate madaraka ili mambo yamnyokee,atafanya lolote ndoto yake itimie

Ndugu Elungata ,Mwanasiasa yoyote duniani anapenda Madaraka ,ukiona mwanasiasa hataki madaraka huyo sio Mwanasiasa Kamili,sasa..
 
Utata uko wapi hapo chin. Au ni ukada wako wa ccm ndio utata. Mbona akina nape waliwahi kusema waziri magufuli ni mzigo na anasafiri mno nje lakini leo hii wamemteua yeye kuwa mgombea wao.
flip



flop


 
Utata uko wapi hapo chin. Au ni ukada wako wa ccm ndio utata. Mbona akina nape waliwahi kusema waziri magufuli ni mzigo na anasafiri mno nje lakini leo hii wamemteua yeye kuwa mgombea wao.
Kwisha Habari yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…