Utata: Uvamizi wa clouds FM

Makonda alitaka kumuumbua Askofu Gwajima kuwa ametelekeza mtoto, Clouds wakaona ni ujinga mtupu kupeleka story bila Ku balance, wakampuuza
 
Ishu si kuingia na kutoka. Kwenye ofic za clouds anaingiaje na askari tena wanasilaha... kulikuwa kuna jambazi huko? Je kila siku alivyokuwa akienda clouds alikuwa akienda na askari wenye silaha?
 
Makonda alitaka kumuumbua Askofu Gwajima kuwa ametelekeza mtoto, Clouds wakaona ni ujinga mtupu kupeleka story bila Ku balance, wakampuuza
Ile video ni ya kutengenezwa.. alaf alie tunga uwongo ule ni professional looser.
Hata kama unataka kutengeneza tukio sio kwa stype ile. Tule dada wa watu anaongea lakin anajishtukia, hata simple acting ameshindwa.

my take is rc hamuwez gwajima.. ni habari ingine.
 
Hili swali wameshindwa kulijibu kabisaa.

Yes alikuwa anaenda clouds mara kwa mara. Lakin je alikuwa anaenda na askari tena wenye silaha..? Je huo ndio utaratibu wa kuingia ofice za watu?
 
Mtoa mada jaribu kuleta nyingne hapo tutakuelewa,yaweza kuwa na ww ni wale wa vijana wa Lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…