Utata uliojificha kuhusu Corona

How did you know that ? kama wengine wanatajwa hawa kwanini wafichwe ? hivi unamfahamu vizuri Mwana FA ?
 
Kwanini unashangaa Corona kuambukizwa na Virus wakati hata mafua ya kawaida yanasababishwa na Virus na yanaambukiza kwa njia ya hewa?

Influenza Virus ndio causative agent wa Mafua

Nini kimekushangaza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwamba wajiuliza Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa?. Ebu pitia makala ifuatayo huenda ikakupa mwanga kiasi kuhusu COVID 19, kirusi cha CORONA.

I highly recommend you guys take the time to watch this video before they remove it from the internet

 
Kama hiyo "link" hafunguki jaribu hii hapa
 
Mkuu, kwa maelezo ya wataalamu Covid 19 haienezwi kwa njia ya hewa bali majimaji yanayopatikana mdomoni, puani n.k na ndio maana unaambiwa ukikohoa uzibe ili usiruhusu vimelea kutoka kwa njia ya mate/majimaji ya puani.
 
Watanzania tupo nyuma sanaa juu ya uelewa wa huu ugonjwa.
 
Reactions: TIM
How did you know that ? kama wengine wanatajwa hawa kwanini wafichwe ? hivi unamfahamu vizuri Mwana FA ?
Nimeshakwambia kilichopelekea nijue ni wao ni simple kwa sababu hao ndio walikuwa kwenye hizo nchi na wenyewe wamethibitisha kuwa wana COVID-19, sasa unapata tabu vipi kuanza kufikiri hawa ni wapya sio wale waliotangazwa na mamlaka asubuhi.

Walichofichwa kipi?
Kwani wale wengine walipotajwa tulitajiwa majina yao. Si tuliambiwa tu uraia wao.
Msipende kufikilia kisiasa kila pahala.
 
Hii kuambiwa tusivae maski wakati so mgonjwa ni huku kwetu Tanzania tu.

Kuvaa maski maana yake ni kujilinda na wale walipata huu ugonjwa,

Mgonjwa was Corona akienda chafya anaweza kuwambukia watu wengine kwani anaacha virusi kwenye hewa,..

Mtu akivaa maski anaepuka kuvuta hewa yenye virusi, China na nchi nyengine zilizoathirika na huu ugonjwa watu wote wanavaa maski mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…