Utata interview za tume ya ajira(PSRS)

Utata interview za tume ya ajira(PSRS)

Posho City

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
648
Reaction score
418
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini
 
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini

we acha tu mkubwa nimeona!
 
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini

Muungwana, uliomba nafasi gani pale KEC, nikujuze kinachoendelea kuhusu hizo nafasi
 
Mdau naona wapo macho JF, kwani baada ya kusoma maelezo yako, website ya ajira wamebandua lile tangazo. Nadhani wanafanya mabadiliko.

My take: Kama wameshindwa kuwa makini kwa hili, je ni watu wangapi wanakoseshwa kazi kwa uzembe kama huu? Ni mtazamo tu.
 
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini

kaka naomba unisaidie kama ulidownload niforwadie kwenye email nicheck manake huku kwenye web yao wametoa!
 
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini


thx sna ndugu nimeziona hzo post,,nlifkir imeshapita coz n mda mref sna na la kumshkur Allah nimeitwa sehem 3
dua zenu wana jamvi daah!!!!
 
thx sna ndugu nimeziona hzo post,,nlifkir imeshapita coz n mda mref sna na la kumshkur Allah nimeitwa sehem 3
dua zenu wana jamvi daah!!!!
 
Wadau kwa aliye download hilo tangazo tunaomba atupie hapa jamvin kwa manufaa ya wengi maana washatoa tangazo lao kidizain flani. haaahaaa ukizubaa lazima ukatwe kidizain flani ( I mean tulochelewa kuliona tangazo psrs washatukata kidizain kwakuliondoa tangazo kwenye website yao) .:nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa
 
naona wameweka tena ila Kibaha education centre wameondoa kabisa.
Pleasa PSRS kama mpo humu tujuze kulikoni sie tulioomba kazi KEC vp inakuwaje
 
Nawatakia kila la kheri kwenye interview mungu awaongoze ndugu zangu.ila someni sana maana huwa wanauliza maswali ya darasani zaid.
 
nilitupia jana humu jf ila walisema kwa wale ambao bado hawajaonyeshwa pa kufanyia interview wawe tayari maana muda wowote watataarifiwa .kwa hiyo sioni kama walikosea kitu hapo
 
Vipi kuhusu kada ya Academic officer II,CBE ,Binafsi sijaona tarehe wala mahali pa kufanyia usahili,muongozo tafadhali.
 
Vipi kuhusu kada ya Academic officer II,CBE ,Binafsi sijaona tarehe wala mahali pa kufanyia usahili,muongozo tafadhali.

Tarehe na mahali pa usaili zitatoka hivi karibuni, yaani walioitwa watajulishwa shortly.

Kaa tayari...
 
Jaman Ttcl, Eac wameita pia cz nadownload bila kufanikiwa, alodownload msaada plz
 
Back
Top Bottom