Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Hili ni swali ninalojiuliza maana inawezekana wafanyabiashara hawa hufanya hivi kila mwaka kutokana na viwanda vya sukari kufungwa kipindi hiki kwa ajili ya matengenezo.
Tunachopaswa kujua//kuona ni nyaraka za manunuzi zinazoonyesha tarehe ya ununuzi wa tani hizo za sukari ili kama manunuzi yalifanyika kabla ya agizo la serikali la kupiga marufuku uingiza wa sukari kutoka nje, basi tusiwalaumu hawa wafanyabiashara bali tuilaumu serikali.
Nafikiri hata TRA wanaweza kuwa na data/nyaraka za mauziano ya sukari kati ya wenye viwanda na wafanyabiashara hawa kwa madhumi ya utozaji wa kodi hivyo wanaweza kusaidia uchunguzi.
Tunachopaswa kujua//kuona ni nyaraka za manunuzi zinazoonyesha tarehe ya ununuzi wa tani hizo za sukari ili kama manunuzi yalifanyika kabla ya agizo la serikali la kupiga marufuku uingiza wa sukari kutoka nje, basi tusiwalaumu hawa wafanyabiashara bali tuilaumu serikali.
Nafikiri hata TRA wanaweza kuwa na data/nyaraka za mauziano ya sukari kati ya wenye viwanda na wafanyabiashara hawa kwa madhumi ya utozaji wa kodi hivyo wanaweza kusaidia uchunguzi.