Pulchra Animo
Platinum Member
- Jun 16, 2016
- 6,767
- 10,312
Inaonekana CCM iko mikononi mwa watu ambao uwezo wao wa kuona mbele ni mwisho wa pua zao. Sijui kama wamewahi kufikiria uwezekano wa historia kujirudia!
Hatuombei iwe hivyo, lakini ikitokea (for any reason) Samia ameshindwa kumaliza term anayopigana kuichukua na hivyo Nchimbi (VP wake mtarajiwa) automatically akarithi kiti cha Rais kwa mujibu wa Katiba,
CCM itakuwa na ujanja gani au sababu zipi za kumzuia Nchimbi kupindisha mchakato wa kupata mgombea Urais kwa ticket ya CCM 2030 na kujiteua yeye kuwa mgombea, kama alivyofanya Samia? Obviously, itakuwa almost haiwezekani kumzuia.
Je, hiki ndicho CCM mlikusudia mliporuhusu uhuni uliofanyika January 2025? Kama ndivyo hivyo, ni lini wanachama wa CCM watapata fursa ya kuweka mgombea Urais kwa ticket ya CCM wanayemtaka wao wenyewe, kama historia inajirudia?
Hatuombei iwe hivyo, lakini ikitokea (for any reason) Samia ameshindwa kumaliza term anayopigana kuichukua na hivyo Nchimbi (VP wake mtarajiwa) automatically akarithi kiti cha Rais kwa mujibu wa Katiba,
CCM itakuwa na ujanja gani au sababu zipi za kumzuia Nchimbi kupindisha mchakato wa kupata mgombea Urais kwa ticket ya CCM 2030 na kujiteua yeye kuwa mgombea, kama alivyofanya Samia? Obviously, itakuwa almost haiwezekani kumzuia.
Je, hiki ndicho CCM mlikusudia mliporuhusu uhuni uliofanyika January 2025? Kama ndivyo hivyo, ni lini wanachama wa CCM watapata fursa ya kuweka mgombea Urais kwa ticket ya CCM wanayemtaka wao wenyewe, kama historia inajirudia?