Utaratibu mpya wa uwajibikaji

Petu Hapa

JF-Expert Member
Jan 2, 2008
714
55
Katika hotuba yake (Raisi) ametoa utaratibu mpya wa uwajibikaji ambao naona ni mzuri iwapo utajengewa utaratibu wa wazi. Kasema kuanzia sasa, uwajibikaji utahusisha utahusisha makundi Matatu: moja, ni wale wenye dhamana ya kisiasa (mawaziri), pili watendaji wa wizara(makatibu na wakurugenzi), tatu mashirika ya umma (wakurugenzi na bodi zake). Kuna mambo ya msingi katika hili

a) mipaka ya madaraka ipo lakini mazoe yanaonyesha kunamuingiliano mkubwa katika utendaji. Ilikubadilisha hili watendaji wa chini inabidi wajengewa mifumo mizuri itayoweza kuwapa uhuru wa kukataa matakwa AMA maagizo kutoka juu.

b) kusimamisha kazi makundi yote matatu kwa wakati mmoja inaonyesha upungufu mkubwa sana katika uwajibikaji. Nadhani lengo ni kuwa utaratibu ambao unatoa uwajibikaji kwa kila kundi. Ila iwapo, wazi I atashidwa kuwajibisha mashirika AMA watendaji wake mpaka sauti ya umma, basi waziri huyo hata kama safi, atawajibika kwa kushidwa kutimiza majukumu yake ya kiuongozi
 
Katika hotuba yake (Raisi) ametoa utaratibu mpya wa uwajibikaji ambao naona ni mzuri iwapo utajengewa utaratibu wa wazi. Kasema kuanzia sasa, uwajibikaji utahusisha utahusisha makundi Matatu: moja, ni wale wenye dhamana ya kisiasa (mawaziri), pili watendaji wa wizara(makatibu na wakurugenzi), tatu mashirika ya umma (wakurugenzi na bodi zake). Kuna mambo ya msingi katika hili

a) mipaka ya madaraka ipo lakini mazoe yanaonyesha kunamuingiliano mkubwa katika utendaji. Ilikubadilisha hili watendaji wa chini inabidi wajengewa mifumo mizuri itayoweza kuwapa uhuru wa kukataa matakwa AMA maagizo kutoka juu.

b) kusimamisha kazi makundi yote matatu kwa wakati mmoja inaonyesha upungufu mkubwa sana katika uwajibikaji. Nadhani lengo ni kuwa utaratibu ambao unatoa uwajibikaji kwa kila kundi. Ila iwapo, wazi I atashidwa kuwajibisha mashirika AMA watendaji wake mpaka sauti ya umma, basi waziri huyo hata kama safi, atawajibika kwa kushidwa kutimiza majukumu yake ya kiuongozi

Watawajibishana vipi wakati mipango yao ni syndicate? ungejiuliza kwanini mikataba ya serikali ni siri usingehangaisha akili yako kufikiria "utaratibu" , majukumu yanayotimizwa ni yale tu yaliyo na tija kwa baraza la mawaziri na wala si kwa wananchi. enewei,
serikali dhalimu ya kikwete kwa mara nyingine tena imewatia kidole wenyenchi yao.
 
Watawajibishana vipi wakati mipango yao ni syndicate? ungejiuliza kwanini mikataba ya serikali ni siri usingehangaisha akili yako kufikiria "utaratibu" , majukumu yanayotimizwa ni yale tu yaliyo na tija kwa baraza la mawaziri na wala si kwa wananchi. enewei,
serikali dhalimu ya kikwete kwa mara nyingine tena imewatia

Tunawezaje kubinafsisha nchi yetu kwa mtu mmoja na baraza lake. Tunawezaje kufunga mabadiliko kwa kujua wabadhilifu ndio walewale? Kwa hiyo mwizi akirudi kuiba Kwako unatamwambia - we niibie tu! Nimeshazoea? Kwanini haut nchi Kama miji yetu?
 
Back
Top Bottom