Einsten
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 919
- 774
KWA FAIDA YA WENGI.
Haya makampun yanayojinasibu kuwa uwekeze kiasi...... ili upate faida kwa lisaa, siku, na unakuta % ni kubwa sana ni WAONGO kwa 100%.
WANAWEZAJE KULIPA?
Miaka ya nyuma walikuwa wanasema wanawekeza kwenye migodi, Wananunua Gold, wanafanya biashara za Ndege, Magari ya Kifahari ili tu mlengwa ajue kuwa wana hela sana na wanawekeza mahali sahihi.
Kwa sasa baada ya Technology kukua kwa kasi wakaanza kusema wanaTrade Forex na pia wanafanya Crypto Mining kama Bitcoin yote hii ni kutaka tu kuaminisha watu kiwa pesa zao zipo salama.
Nizungumzie kuwa wanawezaje kulipa na waonekane ni Legit?
Hawa jamaa wanachofanya wanakuwa na mtaji wao mfano kwa za bongo hz wanakuaga na 1M tu balance ya kuwalipa wateja wa hawali kabisa wanaojiunga ili waonekane wapo vizur, baada ya muda wanaanza kuchukua pesa za wateja wapya na kuwalipa wale wa mwanzo mpaka pale watakapoona Target yao imefika wanazima System yao na mnabaki mnalalamika tu.
USAJILI WANAPATAJE?
Hili Swali limekuwa likiwasumbua wengi kuwa kama si halali mbona wamesajiliwa na Number zipo?. Nipende tu kusema kuwa usajili mfano UK reg no zinauzwa kwa $100 tu unapewa namba na virtula Address yaan mtu akiingiza namba kweli unaonekana umesajiliwa na upo vizur kumbe za MCHONGO Tu.
Hawa wanaofanya hz ishu 80% kwa hapa kwetu ni wakenya na wanaoffice kali sana Nairobi, Naongea haya sio kwa kutunga nina jamaa wawili nawafaham walifungua system kama hzi wapo Nairobi wakawaliza watu (waafrica kwa wazungu) $300,000+ wakablock system, Na za Africa nying zinatoka NIGERIA.
NB:
HIZI NI DECI ZA KISASA
Weka hela yako ukijua muda si mrefu hautokuja uione hyo system wakishakusanya za kutosha.
SINA MPANGILIO MZURI KWENYE KUANDIKA MAANA NATUMIA SIMU ILA NAJUA UJUMBE UMEFIKA.
Haya makampun yanayojinasibu kuwa uwekeze kiasi...... ili upate faida kwa lisaa, siku, na unakuta % ni kubwa sana ni WAONGO kwa 100%.
WANAWEZAJE KULIPA?
Miaka ya nyuma walikuwa wanasema wanawekeza kwenye migodi, Wananunua Gold, wanafanya biashara za Ndege, Magari ya Kifahari ili tu mlengwa ajue kuwa wana hela sana na wanawekeza mahali sahihi.
Kwa sasa baada ya Technology kukua kwa kasi wakaanza kusema wanaTrade Forex na pia wanafanya Crypto Mining kama Bitcoin yote hii ni kutaka tu kuaminisha watu kiwa pesa zao zipo salama.
Nizungumzie kuwa wanawezaje kulipa na waonekane ni Legit?
Hawa jamaa wanachofanya wanakuwa na mtaji wao mfano kwa za bongo hz wanakuaga na 1M tu balance ya kuwalipa wateja wa hawali kabisa wanaojiunga ili waonekane wapo vizur, baada ya muda wanaanza kuchukua pesa za wateja wapya na kuwalipa wale wa mwanzo mpaka pale watakapoona Target yao imefika wanazima System yao na mnabaki mnalalamika tu.
USAJILI WANAPATAJE?
Hili Swali limekuwa likiwasumbua wengi kuwa kama si halali mbona wamesajiliwa na Number zipo?. Nipende tu kusema kuwa usajili mfano UK reg no zinauzwa kwa $100 tu unapewa namba na virtula Address yaan mtu akiingiza namba kweli unaonekana umesajiliwa na upo vizur kumbe za MCHONGO Tu.
Hawa wanaofanya hz ishu 80% kwa hapa kwetu ni wakenya na wanaoffice kali sana Nairobi, Naongea haya sio kwa kutunga nina jamaa wawili nawafaham walifungua system kama hzi wapo Nairobi wakawaliza watu (waafrica kwa wazungu) $300,000+ wakablock system, Na za Africa nying zinatoka NIGERIA.
NB:
HIZI NI DECI ZA KISASA
Weka hela yako ukijua muda si mrefu hautokuja uione hyo system wakishakusanya za kutosha.
SINA MPANGILIO MZURI KWENYE KUANDIKA MAANA NATUMIA SIMU ILA NAJUA UJUMBE UMEFIKA.