Utapeli, soma hapa kabla hayajakukuta

Utapeli, soma hapa kabla hayajakukuta

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
Wapendwa kuna utapeli imeingia mjini wa kupigiwa cm na mtu anakwambia nenda ofisi za tigo (yumkini akasema voda, airtel, etc) anakutaja majina yako yote na anasema namba yako imechaguliwa kupata promotion na hivyo nenda ofisi za watoa huduma ukapate hizo hela. Anakupatia Namba za kuingiza ili uretrive (upate) namba ya utambulisho wako huko tigo, voda,....na anaanza na coding *148*......#. Maana yake ni kwamba ukibonyeza reli utakuwa unaruhusi kumtumia ama hela ama password yako ili kumwezesha yeye kutoa hela. Kwa wanaopenda hela za bure yumkini wameishalizwa wengi lkn bado zoezi hilo la utapeli linaendelea. number yenyewe inayotumika (yumkini anazo nyingi) ni 0658104199, nimeona niwataarifu muwe makini. Pls share taarifa hii na mengine ili kuvunja mtandao huu. Najua watu wakipata kuelewa itawagharimu muda kubuni mbinu nyingine.
 
Wapendwa kuna utapeli imeingia mjini wa kupigiwa cm na mtu anakwambia nenda ofisi za tigo (yumkini akasema voda, airtel, etc) anakutaja majina yako yote na anasema namba yako imechaguliwa kupata promotion na hivyo nenda ofisi za watoa huduma ukapate hizo hela. Anakupatia Namba za kuingiza ili uretrive (upate) namba ya utambulisho wako huko tigo, voda,....na anaanza na coding *148*......#. Maana yake ni kwamba ukibonyeza reli utakuwa unaruhusi kumtumia ama hela ama password yako ili kumwezesha yeye kutoa hela. Kwa wanaopenda hela za bure yumkini wameishalizwa wengi lkn bado zoezi hilo la utapeli linaendelea. number yenyewe inayotumika (yumkini anazo nyingi) ni 0658104199, nimeona niwataarifu muwe makini. Pls share taarifa hii na mengine ili kuvunja mtandao huu. Najua watu wakipata kuelewa itawagharimu muda kubuni mbinu nyingine.

asante
 
Mjini kweli chuo kikuu, kila siku wezi wanaibuka na jipya!
 
Hayo makampuni ya simu yanafanyaje kuzuia hilo?.Au wana nia gani na wateja wao?.
 
Wameondoka kwenye uuzaji wa madawa ya kuulia wadudu kwenye nafaka na kuanza kwenye mitandao ya simu kweli kazi tunayo.

Na hii yote ni kukosekana kwa maisha bora tuliyoahidiwa na mkuu wa nchi na hivyo maharamia kubuni njia haramu kila siku.
MOLA ATUSAIDIE.
 
Kwa mfano: *148*0712266512# ndio nampatia huyo mwenye namba hapo juu siri namba ya ac yangu?
 
Nashukuru kwa taarifa. Lakini hawa wenye mitandao hawawezi kuzuia au kumtrace huyo/hao watu?
 
Wapendwa kuna utapeli imeingia mjini wa kupigiwa cm na mtu anakwambia nenda ofisi za tigo (yumkini akasema voda, airtel, etc) anakutaja majina yako yote na anasema namba yako imechaguliwa kupata promotion na hivyo nenda ofisi za watoa huduma ukapate hizo hela. Anakupatia Namba za kuingiza ili uretrive (upate) namba ya utambulisho wako huko tigo, voda,....na anaanza na coding *148*......#. Maana yake ni kwamba ukibonyeza reli utakuwa unaruhusi kumtumia ama hela ama password yako ili kumwezesha yeye kutoa hela. Kwa wanaopenda hela za bure yumkini wameishalizwa wengi lkn bado zoezi hilo la utapeli linaendelea. number yenyewe inayotumika (yumkini anazo nyingi) ni 0658104199, nimeona niwataarifu muwe makini. Pls share taarifa hii na mengine ili kuvunja mtandao huu. Najua watu wakipata kuelewa itawagharimu muda kubuni mbinu nyingine.

sANTE KWA TAARIFA, nashauri ubadili avater yako maana inashiria uko kwenye mieleka ya uchaguzi ujao, angalia usije ukaukosa ustahiuki meya.
 
Back
Top Bottom