King'amuzi cha startimes wamekuja na utapeli mpya wa kuwaibia watanzani,, it happened to me,, hapo kabla niliwauliza kuwa kwa mujibu wa tangazo la TCRA ni kuwa local channels zote ni bire lkn bundle likikata tu nazo zinapotea kwa nn? Jibu lao likawa natakiwa kupeleka Tsh, 30,000 ili ninadirishiwe card ambayo imeisha nikawauliza kadi si mali yenu ambayo mm nalipia bundle la furushi kila mwezi?, nikakatiwa simu, siku ingine nikawapigia na kuwaambia tatizo la kwanza na wakanijibu hivyohivyo nikawauliza kama card yangu inamatatizo na inatakiwa kunadirishwa ila mbona nikinunua bundle inakuwa sawa? nikakatiwa simu,, leo tar 09/08/018 nikakibeba mpaka ofisi zao za buguruni Lozana ili kupata jibu face to face,, wakaniambia kuwa tatizo sio card ila ni smart card inayowekwa ndani ndio natakiwa kuilipia sh, 20,000,,, nikawauliza nani anatakiwa alipie card? Nikafukuzwa na kuondoka,