Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,819
anakupigia mtu simu au sms akijinadi kuwa ndiye mwalimu wa mwanao, anakupa taarifa kuwa mwanao ameugua shuleni ghafla, hivyo inahitajika pesa ya matibabu, utatuma pesa au utapiga simu kwa maelezo zaidi, hapo utaambiwa kuwa anahitaji pesa ndio ahudumiwe, wewe kwa pupa utatuma pesa ili mwanao apate nafuu asizidiwe huku ukifanya taratibu za kwenda kumuona, ukifika hospital unaambiwa kuwa hakuna mgonjwa wa hivyo, umeshatapeliwa.
Nimepokea sms hiyo, japo sina mtoto
.
Nimepokea sms hiyo, japo sina mtoto
.