Utapeli kwa mitandao ya simu umezidi

Utapeli kwa mitandao ya simu umezidi

DISPLEI

Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
73
Reaction score
48
Kuna huu utapeli ambao umezagaa sana mitandaoni wa kuwataka watu watume hela kwenye namba fulani, mara kuna mganga kanisaidia, mara nafanya biashara ya madini, kugawa bonus n.k.

Kweli kuna watu wametapeliwa na wanaendelea kutapeliwa. Hivi kwa nini mitandao ya simu na TCRA wasiweke utaratibu wa kutoa taarifa ya namba hizo kwa uchunguzi zaidi na hata kuziblock kila inapotolewa taarifa kuzihusu? Kwanza kuzuia miamala inayoingi namba hizo hisitoke.

Wakishajiridhisha hata kuitaarifu polisi wafuatilie na kuwakamata hawa watu.

Inabidi kifanyike kitu vinginevyo usalama wa mawasiliano haya unatiwa doa.

Binafsi nina namba hizi hadi wakati huu naandika

0623 510 939
0789 789 986
0764 326 731
0764 255 000
0625 344 806

Hapo kuna waganga

Wafanya biashara wa madini

Wa kutaka utumie hela kwenye namba zao.

Natoa wito kwa TCRA na Mitandao ya simu kufanya chochote ili kulinda watumiaji wenye nia njema.

Nawasilisha
 
Lazima tuwaanike, tutawakomesha kwa kufanya hivi, hata tumlengeshe mmoja akiingia KINGI tunaye, ni kipondo cha mbwa koko tu..
 
ZIPUUZIENI HIZO MSG ......LAZIMA MJIONGEZE
MSIWATEGEME TCRA KWENYE MSAADA KWENYE HILI!

OVA
 
Kuna huu utapeli ambao umezagaa sana mitandaoni wa kuwataka watu watume hela kwenye namba fulani, mara kuna mganga kanisaidia, mara nafanya biashara ya madini, kugawa bonus n.k.

Kweli kuna watu wametapeliwa na wanaendelea kutapeliwa. Hivi kwa nini mitandao ya simu na TCRA wasiweke utaratibu wa kutoa taarifa ya namba hizo kwa uchunguzi zaidi na hata kuziblock kila inapotolewa taarifa kuzihusu? Kwanza kuzuia miamala inayoingi namba hizo hisitoke.

Wakishajiridhisha hata kuitaarifu polisi wafuatilie na kuwakamata hawa watu.

Inabidi kifanyike kitu vinginevyo usalama wa mawasiliano haya ******* doa.

Binafsi nina namba hizi hadi wakati huu naandika

0623 510 939
0789 789 986
0764 326 731
0764 255 000
0625 344 806

Hapo kuna waganga

Wafanya biashara wa madini

Wa kutaka utumie hela kwenye namba zao.

Natoa wito kwa TCRA na Mitandao ya simu kufanya chochote ili kulinda watumiaji wenye nia njema.

Nawasilisha
Ww ukitumiwa kwa ni lazma uwajibu? Si uwapotezeee? Wajinga ndio waliwao!
 
Kuna huu utapeli ambao umezagaa sana mitandaoni wa kuwataka watu watume hela kwenye namba fulani, mara kuna mganga kanisaidia, mara nafanya biashara ya madini, kugawa bonus n.k.

Kweli kuna watu wametapeliwa na wanaendelea kutapeliwa. Hivi kwa nini mitandao ya simu na TCRA wasiweke utaratibu wa kutoa taarifa ya namba hizo kwa uchunguzi zaidi na hata kuziblock kila inapotolewa taarifa kuzihusu? Kwanza kuzuia miamala inayoingi namba hizo hisitoke.

Wakishajiridhisha hata kuitaarifu polisi wafuatilie na kuwakamata hawa watu.

Inabidi kifanyike kitu vinginevyo usalama wa mawasiliano haya ******* doa.

Binafsi nina namba hizi hadi wakati huu naandika

0623 510 939
0789 789 986
0764 326 731
0764 255 000
0625 344 806

Hapo kuna waganga

Wafanya biashara wa madini

Wa kutaka utumie hela kwenye namba zao.

Natoa wito kwa TCRA na Mitandao ya simu kufanya chochote ili kulinda watumiaji wenye nia njema.

Nawasilisha
Halafu miongoni mwa mitandao wanayotumia kutapeli ni voda na halotel.Voda na halotel kulikoni jamani mbona matapeli wachache wanawaharibia biashara nanyi mpo kimya tu?
 
Kuna huu utapeli ambao umezagaa sana mitandaoni wa kuwataka watu watume hela kwenye namba fulani, mara kuna mganga kanisaidia, mara nafanya biashara ya madini, kugawa bonus n.k.

Kweli kuna watu wametapeliwa na wanaendelea kutapeliwa. Hivi kwa nini mitandao ya simu na TCRA wasiweke utaratibu wa kutoa taarifa ya namba hizo kwa uchunguzi zaidi na hata kuziblock kila inapotolewa taarifa kuzihusu? Kwanza kuzuia miamala inayoingi namba hizo hisitoke.

Wakishajiridhisha hata kuitaarifu polisi wafuatilie na kuwakamata hawa watu.

Inabidi kifanyike kitu vinginevyo usalama wa mawasiliano haya ******* doa.

Binafsi nina namba hizi hadi wakati huu naandika

0623 510 939
0789 789 986
0764 326 731
0764 255 000
0625 344 806

Hapo kuna waganga

Wafanya biashara wa madini

Wa kutaka utumie hela kwenye namba zao.

Natoa wito kwa TCRA na Mitandao ya simu kufanya chochote ili kulinda watumiaji wenye nia njema.

Nawasilisha
Hao huwezi kuwamaliza mkuu. Ukiblock namba 1 wanasajili nyingine. Wana mbinu nyingi tu.
Dawa ni sisi wateja kuwa makini tuachebkutapeliwa kizembe mwisho wakiona biashara hailipi wataacha tu hizi njia.
Screenshot_20180512-100727.jpg
 
Mimi iliingia sms,nikajua ni boss wangu mwenye nyumba,lait ningekuwa na pesa tu,ningetuma
 
Halafu miongoni mwa mitandao wanayotumia kutapeli ni voda na halotel.Voda na halotel kulikoni jamani mbona matapeli wachache wanawaharibia biashara nanyi mpo kimya tu?
TIGO unaiachaje kwa mfano??? kuna mijizi imejificha humo ni balaa!!! Mitandao ya simu kunyamaza inamaanisha wanahusika vinginevyo wajiongeze
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Mtu anatoa hoja ili solution ya kudumu ipatikane, mwingine anauliza wewe unajibu hizo message za nini? Amekuambia alijibu? Wapo wahanga ambao uwezo wao wa kuchanganua mambo sio kama wewe. Kwa nini usiache jambo la msingi likaprevail ili lifanyiwe kazi? Nchi inazalisha watu wa ajabu sana hii. So boring.
 
Lazima tuwaanike, tutawakomesha kwa kufanya hivi, hata tumlengeshe mmoja akiingia KINGI tunaye, ni kipondo cha mbwa koko tu..
Kuna jamaaa alitapeliwa na namba akaenda kushitaki polisi, kufika polisi wakasema huyu jamaa wanamjua na nitapeli sana, ashatapeli sana. Na jamaa wakamwambia anafanya uchunguzi mpaka Leo zaidi ya miezi 7.
 
Na mimi nimetumiwa meseji hii ILE HELA ITUME KWENYE NAMBA 0743087012. Na nyingine ni 0767161499 Laini yangu inasumbua mpesa. Bila shaka kwa wa
Wale ambao hawana taarifa na utapeli huu watakuwa wameibiwa sana. TCRA wasaidieni watanzania wasiibiwe.
 
ngoja ninyamaze lakini matapeli wakubwa ni wale wanaotutumia meseji za kushinda mamilioni huku wakiwa wanarushwa hewani mpaka katika taarifa za habari
 
Hao huwezi kuwamaliza mkuu. Ukiblock namba 1 wanasajili nyingine. Wana mbinu nyingi tu.
Dawa ni sisi wateja kuwa makini tuachebkutapeliwa kizembe mwisho wakiona biashara hailipi wataacha tu hizi njia.View attachment 774575
Ukiwekwa utaratibu wa kutoa taarifa watashindwa bila kujali wanatumia namba gani. Ni kwamba kila namba itakayoshukiwa na kutolewa taarifa miamala yake inazuiliwa.

Kwa upande wa kampuni za simu, ni rahisi kuzijua maana ujumbe huo huo unatumwa kwa watu wengi.

Likihachwa hivi hivi hili tatizo wengi wataendelea kuumia.
 
Teknologia inavyokua na uhalifu unaongezeka
 
Back
Top Bottom