Utapeli: African International Research Solution

Utapeli: African International Research Solution

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,342
Reaction score
12,065
Ndugu wananchi kuweni makini na hii kampuni inayojiita jina hilo hapo kwenye title.

Imetumia mwanya wa watanzania kukosa ajira na kuamua kuwatapeli vijana na watu wazima walioahidiwa kupatiwa kazi ya kufanya research katika mradi uitwao AGRIFINS, watu wameibiwa hela zao maana kila aliyajitokeza kuomba hiyo kazi aliombwa kuanzia kiasi cha laki 3 mpaka 6 na kazi imeyeyuka.

Ni genge flani la wahuni wakiongozwa na kijana aitwaye Innocent Katamba, kuweni makini na haya makampuni ya udalali hasa wa kutafuta kazi.

Source: Jamaa yangu aliyetapeliwa na kesi iko polisi Oysterbay.
attachment.php

 
Aisee huyu jamaa Innocent ni mshenzi sana...tapeli sana ameshawahi kuwaliza walimu kama 20 ivi kila mmoja alitoa M.1 kwa ahadi ya mikopo ya bei nafuu na viwanja..hafai..hafai..watu wawe makini sana hasa watafutaji wa ajira..!!
 
Aisee huyu jamaa Innocent ni mshenzi sana...tapeli sana ameshawahi kuwaliza walimu kama 20 ivi kila mmoja alitoa M.1 kwa ahadi ya mikopo ya bei nafuu na viwanja..hafai..hafai..watu wawe makini sana hasa watafutaji wa ajira..!!

Duh! basi hatari, maana hapa wamelizwa zaidi ya watu 200
 
Duh! basi hatari, maana hapa wamelizwa zaidi ya watu 200

Namfahamu huyu dogo na kampani yake walikua pale nje ya ubungo terminal wamepanga kimodemo hotel walikua na demu mmoja anaitwa regina yaani waliwachukulia watu hela nyingi wakawa wanawapa training ya research ambayo haikuwepo na huyu demu ndo alikua anachukua hela kuanzia laki 2 na kuendelea ili ujoin na hiyo project baada ya kama mwezi wakasepa na kuwaacha watu kwenye mataa lakini nikasikia regina kakamatwa yupo mabatini police k/nyama sijafatilia picha iliishaje..kama wanaendelea na utapeli basi watakua wameshindikana!!
 
Namfahamu huyu dogo na kampani yake walikua pale nje ya ubungo terminal wamepanga kimodemo hotel walikua na demu mmoja anaitwa regina yaani waliwachukulia watu hela nyingi wakawa wanawapa training ya research ambayo haikuwepo na huyu demu ndo alikua anachukua hela kuanzia laki 2 na kuendelea ili ujoin na hiyo project baada ya kama mwezi wakasepa na kuwaacha watu kwenye mataa lakini nikasikia regina kakamatwa yupo mabatini police k/nyama sijafatilia picha iliishaje..kama wanaendelea na utapeli basi watakua wameshindikana!!

Yaa! kampani yake eti ni huyo Regina, wengine ni Hussein, George na Iden na kwa sasa aliyekuwa anachukua hela anaitwa Kissa kupitia namba yake ya tigo, inaonyesha ni genge kubwa.
 
Yaa! kampani yake eti ni huyo Regina, wengine ni Hussein, George na Iden

Mafala hawa nilifika hapo hotelini walipopanga coz kuna mshkaji wangu ndo alinipeleka eti kuna deal nilipofika pale nikakuta huo mpango wa kutoa 250000 unaingia comference kwa ajili ya training nikamwambia regina kwa sababu project ni kubwa na ina hela nyingi na nyinyi ndio mtakaotulipa acha niingie afu hela ikitoka utanikata demu akakataa nikamwambia poa nikasepa..baada ya wiki 1 akanipigia kua kuna project nyingine kubwa zaidi imetoka hiyo kiingilio 350000 nikamwambia sina,akawa anaendelea kunipigia mi sipokei ndio nikaanza kuaikia harufu ya kutapeliwa hapo na jinsi wanavyochukua watu utajua tu huu ni wizi yaani ukifika pale hawakuulizi chochote kuhusu elimu yako wala experience we ukitoa hela tu unaingia training unakua umeshaqualify!!!
 
Na ile ya UKIMWi Mwanza je, wamekimbia na hela za watu. NGO ya UKIMWI katika mikoa minane, mitapeli kupindukia! Polisi wamehonga, hawaguswi? Nchi hii!
 
Matapeli hawataisha kwa sbb watu waliotayari kutapeliwa ni wengi
 
Tatizo LA ajira na kupenda mafanikio ya harakaharaka ndio yanasababisha hivi vitu
 
Tatizo LA ajira na kupenda mafanikio ya harakaharaka ndio yanasababisha hivi vitu

Kweli tatizo la ajira ni kubwa lakini nawaasa vijana wasikurupuke na kupenda shortcut matokeo yake wanaibiwa kirahisi na ninaamini hawa jamaa kuna maeneo mengi/mikoani hawana taarofa zao watawapiga hela sana.
 
Back
Top Bottom