Kwanza amshukuru Mungu kwa kumpa hicho anachopata, kuna watu 8 yrs hadi leo hawajapata ajira, na wanasota kwa namna zao, pili atulize akili tena atulie, na apange maisha yake, kuangalia wengine wanapata nini na kukaa unawaza juu yao si busara, aendelee kufanya kazi, na kujipanga kutimiza ndoto zake, na pia aendelee kuangalia matangazo ya ajira mbalimbali, hawezi jua, zaidi kumuomba Mungu tu.