Wakubwa shikamooni,warika langu mambo vp?Wadogo zangu nipeni vifijo na nderemo.
Napenda kujumuika nanyi ktk hili jukwaa.Umri wangu ni miaka 25,ni kijana wa kiume,tena rijali.Ni matumaini yangu kuwa mtanipokea kwa stahiki.
Karibu sana kijana. Unapaswa kukaguliwa na mwanamke rijali aitwaye Madame B ambaye ndiye mkaguzi mkuu wa wanaume while wanawake hukaguliwa na @Asrin ambaye ndiye mkuu upande wa wanawake.
Wakubwa shikamooni,warika langu mambo vp?Wadogo zangu nipeni vifijo na nderemo.
Napenda kujumuika nanyi ktk hili jukwaa.Umri wangu ni miaka 25,ni kijana wa kiume,tena rijali.Ni matumaini yangu kuwa mtanipokea kwa stahiki.