Wamajanga
Senior Member
- Jun 24, 2014
- 133
- 47
Naanza kwa utambulisho mimi ni muislam na jina langu halisi ni Athumani,mimi elimu yangu katika dini yangu ya uislam si kubwa hata kidogo ila naweza kusema pia si ndogo na pia si Sunnis wala Bakwata ila ni muislam japo nina madhambi kibao ila ni muislam
Ni hivi dhumuni la kuandika mada hii ni kuwaelimisha wale ambao hawaujui uislam vizuri na wanaweza wakawa waislam au si waislam, ni hivi mauaji yote yanayotokea au yanayofanywa kwa kutumia mwamvuli wa dini ya kiislam.
Naanza ALLAH anakataza muislam yoyote kumuua muislam mwenzake pasipokuwa na hizi sababu tatu nazo ni
1.ALIYEUA NAYE AUAWE
yaani ni hivi ikiwa muislam kamuua binadamu mwenzie awe muislam au asiwe muislam basi yapaswa naye auawe.
2.ALIYEOA/KUOLEWA HALAFU AKAZINI
yaani mwanaume aliyeoa au mwanamke aliyeoa
3.ALIYERITADI DINI
Na kama si muislam basi atauawa yule ambaye anaupinga uislam kwa kuwazuia wasiabudu MUNGU wao ila yule ambaye ni muislam halafu anaendela na mambo yake basi ni dhambi kumuua na usilipize kisasi kwa mtu ambaye hahusiki katika vita hiyo na ndo maana hata Mtume wetu MUHAMMAD (S.A.W) alikuwa anawaambia maswahaba (R.A) wasimpige mzee,mtoto,mwanamke, wanyama na yeyote ambaye hahusiki na hiyo vita.
Kwa hiyo au wanaoua watu bila sababu yoyote ni wauaji tu mana uislam haujatufunfisha hivyo na wausingizia uislam ambao hahusiki.
Namalizia naruhusu kukoselewa na wasomi wa dini ya kiislam kwa nilipokosea
SOMA UISLAM USIMSOME MUISLAM
Ni hivi dhumuni la kuandika mada hii ni kuwaelimisha wale ambao hawaujui uislam vizuri na wanaweza wakawa waislam au si waislam, ni hivi mauaji yote yanayotokea au yanayofanywa kwa kutumia mwamvuli wa dini ya kiislam.
Naanza ALLAH anakataza muislam yoyote kumuua muislam mwenzake pasipokuwa na hizi sababu tatu nazo ni
1.ALIYEUA NAYE AUAWE
yaani ni hivi ikiwa muislam kamuua binadamu mwenzie awe muislam au asiwe muislam basi yapaswa naye auawe.
2.ALIYEOA/KUOLEWA HALAFU AKAZINI
yaani mwanaume aliyeoa au mwanamke aliyeoa
3.ALIYERITADI DINI
Na kama si muislam basi atauawa yule ambaye anaupinga uislam kwa kuwazuia wasiabudu MUNGU wao ila yule ambaye ni muislam halafu anaendela na mambo yake basi ni dhambi kumuua na usilipize kisasi kwa mtu ambaye hahusiki katika vita hiyo na ndo maana hata Mtume wetu MUHAMMAD (S.A.W) alikuwa anawaambia maswahaba (R.A) wasimpige mzee,mtoto,mwanamke, wanyama na yeyote ambaye hahusiki na hiyo vita.
Kwa hiyo au wanaoua watu bila sababu yoyote ni wauaji tu mana uislam haujatufunfisha hivyo na wausingizia uislam ambao hahusiki.
Namalizia naruhusu kukoselewa na wasomi wa dini ya kiislam kwa nilipokosea
SOMA UISLAM USIMSOME MUISLAM