ambwilikiti
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 204
- 59
Kabla ya tozo (Vat) ilikuwa inaingiza kiasi gani?Wakati Serikali inaintroduce tozo za vati kwenyewe utalii kuna waliobeza Tozo ya vati kwenyewe utalii.Sasa Lema sijui ataongea nini maana kaprove wrong!!! Aibuuu sana Kwa makampuni ya utalii yaliyobeza tozo hiyo na kusema inaenda kuua utalii.
Pitia linki ya Mwananchi.unataka utafuniwe kila kitu maku we!!!Jina lako tu unaonekana zoba. Huna uthibitisho wowote unajoropokea tu. Hoja dhaifu kabisa ya leo
Mwananchi link,au utalisoma gazeti la mwananchi kesho.Chanzo cha habari tafadhali
Wakati Serikali inaintroduce tozo za vati kwenyewe utalii kuna waliobeza Tozo ya vati kwenyewe utalii.Sasa Lema sijui ataongea nini maana kaprove wrong!!! Aibuuu sana Kwa makampuni ya utalii yaliyobeza tozo hiyo na kusema inaenda kuua utalii.
Hii habali si rafiki kwako nyumbu mkubwa wewe dekio la lowasaJina lako tu unaonekana zoba. Huna uthibitisho wowote unajoropokea tu. Hoja dhaifu kabisa ya leo
Habari haijakamilika,ulitakiwa kuweka habari yenyewe na chanzo chakeWakati Serikali inaintroduce tozo za vati kwenyewe utalii kuna waliobeza Tozo ya vati kwenyewe utalii.Sasa Lema sijui ataongea nini maana kaprove wrong!!! Aibuuu sana Kwa makampuni ya utalii yaliyobeza tozo hiyo na kusema inaenda kuua utalii.
sawaMwananchi link,au utalisoma gazeti la mwananchi kesho.
Badala ulete taarifa, wewe unaleta majungu. Boresha uzi wako. Ulianza na title nzuri. Embu toa Lema hapo alafu jikite kwenye kuelezea hayo mapato ya trilion nne.Wakati Serikali inaintroduce tozo za vati kwenyewe utalii kuna waliobeza Tozo ya vati kwenyewe utalii.Sasa Lema sijui ataongea nini maana kaprove wrong!!! Aibuuu sana Kwa makampuni ya utalii yaliyobeza tozo hiyo na kusema inaenda kuua utalii.