Selous 80000 individual tanzanian
Mkiwa kwemye group la watu 20 kila mtu 20000
Ungetuwekra iyo gharama ni ya nn tujue na km Kuna mambo mengine pia yaweje Mkuu tusije tukaenda tukalala juu ya miti🤣🤣Selous 80000 individual tanzanian
Mkiwa kwemye group la watu 20 kila mtu 20000
Ahahahah we mkorofi sana. Msije kulala just ya miti.Ungetuwekra iyo gharama ni ya nn tujue na km Kuna mambo mengine pia yaweje Mkuu tusije tukaenda tukalala juu ya miti![]()
🤣🤣Umeenda na laki Yako umekopa vikoba utaacha kulala juu ya mti🤣🤣Ahahahah we mkorofi sana. Msije kulala just ya miti.
🤣🤣🤣Selu???🙂
Iliwahi kunikuta hii Rubondo, nikaambiwa gharama kumbe zinazidi bhana bhanaaaa,, kule hamna wakala wa mobile money,, gharama nilizoambiwa zilikuwa za kuingia tu kisiwani ila nauli na chakula hakuna,, nilisaidiwa na mkaka flani then tuliporudi mganza nikatoa hela yake nikampa,, gharama ilizidi mara kumi zaidi ya nilichoambiwa,,, sitarudia kama ni huduma nifike ofisi husika hapo ndo nakuwa na uhakikaUngetuwekra iyo gharama ni ya nn tujue na km Kuna mambo mengine pia yaweje Mkuu tusije tukaenda tukalala juu ya miti🤣🤣
Kama ngedere 😂😂Ungetuwekra iyo gharama ni ya nn tujue na km Kuna mambo mengine pia yaweje Mkuu tusije tukaenda tukalala juu ya miti🤣🤣
🤣🤣🤣Kama ngedere 😂😂
kaandike vizuri ufiche aibu, selu ndio nini.Anae jua gharama zote za kutembelea hizo hifadhi naomba msaada
Iliwahi kunikuta hii Rubondo, nikaambiwa gharama kumbe zinazidi bhana bhanaaaa,, kule hamna wakala wa mobile money,, gharama nilizoambiwa zilikuwa za kuingia tu kisiwani ila nauli na chakula hakuna,, nilisaidiwa na mkaka flani then tuliporudi mganza nikatoa hela yake nikampa,, gharama ilizidi mara kumi zaidi ya nilichoambiwa,,, sitarudia kama ni huduma nifike ofisi husika hapo ndo nakuwa na uhakika
Hii rubondo iko wapi mkuuRubondo kutam sana , nilichomewa samaki ambao sijawahi kula popote,
Dah ulifaidi mwenyeweRubondo kutam sana , nilichomewa samaki ambao sijawahi kula popote,