"Utalii wa kisiasa ni pale ambapo mwenzako anazindua Ilani kwa ajili ya wananchi, wewe unashughulika kuimba taarabu kwa wananchi majukwaani na mitandaoni." β Alloyce, P.R.
"Hakuna maana ya kumkomboa Mwafrika kiuchumi kama bado amefungwa kifikra, maana utumwa wa akili ni hatari zaidi kuliko utumwa wa mali." β Alloyce, P.R.
πππ
Habari wakuu. Uzi huu ni kwajili ya Quotes Mbali Mbali Kwa watu mashughuli duniani ambao bado wapo Hai na wengine waliotangulia kwenye ulimwengu mwengine.